Neno elimu ni neno pana sana,
Kuna elimu inayoweza kukupatia pesa kuna elimu inayoweza kufanya uishi na watu vizuri N.K elimu ni jumla ya maalifa, ujuzi na muelekeo alionao mtu.
1. maarifa ni uwelewa wa kinadharia wa jambo fulani
2. Ujuzi ni uwezo wa kufanya jambo ki vitendo
3. Muelekeo ni iman alionayo mtu,
Let's say unaelimu ya cyber security, hivi unajua unaweza kulipwa bilioni moja, kwa ripoti moja itakayoonesha umeweza ku compromise server za OPENSEEA crypto currency?
So i always pesa ipo ila elimu ya kuipata ndo shida