Hapo umesema neno... Even acting, ukiangalia Tamthilia ya kutoka Kenya itakupa hamu ya kuangalia matukio yanayofuata ila ya Tanzania ubunifu ZERO ila wanajua kukaa nusu uchi utafaidi mapaja....
Muziki wa biashara wanaweza but muziki wa kipaji tena unakung'utwa LIVE BILA CHENGA upo KENYA...