tuachane na elimu yako kwa muda.Jina langu ni CCNP Engineer.
Nina degree ya Telecommunications Engineering.
Mimi ni Engineer wa computer networks (security and data center)
Mimi kama engineer hata siku moja siwezi kulinganishwa na mtu alosoma HKL. Topic moja ya chemistry (ORGANIC) nilosoma A-level ni equivalent to syllabus yote ya HKL form five na six jumlisha na GS.
Mimi kama mwanaume, ni udhalilishaji mbaya kabisa kunilinganisha na PUGI. Mimi sio PUGI, bali ni mwanaume. Waulizeni akina Rebeca 83 na amu na theriogenology na baba swalehe, wao ni mashahidi katika hili.
Huyu PUGI aliletaga UNAFIKI kwenye magroup ya TMT alivogundulika akatimuliwa na chyupi kichwani na Screenshort ninazo, na akibisha naweka namba yake ya cm hapa. Alikua Anatumia nickname ya Spiritual Crypto.
Conlusion:
Kumlinganisha Engineer na PUGI ni sawa na kusema kati ya FLOYD MAYWEATHER na CRISTIANO RONALDO nani mkali (Does it make any sense???)
Sifananishwi na wabwekaji!!!
Engineer atabaki kuwa Engineer, PUGI atabaki kuwa PUGI.
Hivo rasmi huu Uzi umefungwa. Hakuna maana. Ni udhalilishaji.
Hawawezi uana i know these guys... they are both forex traders ... ni beef za traders zinaishiaga kwenye hela tummnh haya...mpaka watafutane in real life wauwane wewe endelea kununua hayo ma coke baridiii
Bwana promota! Nakuomba unitafutie mwingine level zangu... Kunipambanisha na huyu mwendawazimu anaewadhalilisha MaTO na ma engineers ni kuniadhiri.Tunashukuru mkuu kwa kuibuka katika mtanange huu,tunakuomba utuelezee kidogo kuhusu huyu mpinzani wako maana promota nimetembelea baadhi ya nyuzi na kukuta mashambulizi kwako ni makali sana je una lolote la kuwaambia wapiga kura?
HahahahaBwana promota! Nakuomba unitafutie mwingine level zangu... Kunipambanisha na huyu mwendawazimu anaewadhalilisha MaTO na ma engineers ni kuniadhiri.
Ingawaje wapiga kura wangu... Nawapenda sana na nataka nigombee humu JF na ninaahidi pesa zangu za majuu zikitoka kila nyumba ya mwana JF naiwekea roundabout kwa ndani iwe zaidi ya self contained kwa gharama zangu.. Naombeni kura zenu wana JF.. [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji176]
CCNP Engineer Humble African huku kaonesha salio lililomo kwenye account yake na document kadhaa......Huu uzi ndio nauona muda huu mkuu. Huwa sina tabia ya kujinadi ya kitoto kama huyu psycho anavyofanya maana hata watu wenye hela kama akina mengi huwa hawana haja ya kuvaa saa za Gucci ili waonekana wana hela ... Hii mentality hawana hata kidogo. The same na watu walio successful maishani... They are cool, calm and collected.
Inanilazimu niseme hili kwamba licha ya account zangu mbili muhimu, ya kwanza account ya online E-banking ya NETTELER na nyingine ya Bongo zenye kiasi kikubwa cha pesa kufungiwa baada ya kuingiza hela nyingi kuliko kawaida yake...narudia hela nyingi kuliko kawaida, na wahusika kuhisi labda inaweza kuwa money laundering au inaweza kuwa pesa zinataka kuangukia mikononi mwa magaidi na wao kuamua kublock access na transaction zote hadi pale nitapowapa documents zinazoweza kuverify without any reasonable doubts legality ya pesa zangu na sources zake ikiwemo pia kuwapa barua ya bank ambao nimekuwa mteja wao kwa miaka kadhaa.. Nimeweka hiyo hapo barua ya Crdb bank ikiwajulisha jamaa wa relax na kwamba Mimi ni bonafide customers... Mbali na hivyo kuna supporting documents kibao zingine nimetuma England kutoka Tanzania na South Africa zikithibitisha ile pesa kubwa ni yangu na source zilipotokea wamekiri hili. Sidhani kama itazidi miaka 3 nitakuwa na hela ambayo wewe utafanya kazi miaka hadi ustaafu usiipate...! But I'm cool sikuwa nataka watu wayajue haya but jamaa kaniprovoke.
Najua hana hela huyu jamaa na ana msongo wa Mawazo ndio maana hata anataka kukopa milion tano akimbie kazi https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1365777/..hela ambayo Mimi iko kwenye bank nisiyoitumia kihivyo... Exim Bank...Nina milion tano inamangamanga tu kule achana na CRDB, NMB au NETTELER E-banking ambayo hata jamaa haijui na kule Forex jamaa alinitapeli zaidi ya milion 9.
Na hapa natoka church nakula zangu baltika kiulaini, huku song za praise and worship zinatawala, huku Napush ndinga yangu as easy as Sunday morning...C'mooooon hivi maisha yanataka nini tena kwangu?
Kwenye maisha heshima pesa, salamu, elimu ni makelele tu! Tafuta hela kijana, mengine yatafuata.
Ndugu zangu sikupanga kujinadi na sijawahi kujinadi JF but huyu bwege mshinda juu ya minara kaniprovoke na nimegundua sio level zangu...nimeamua kumpuuuza. Cc bachelor sugu Zahra White amu Mama Sabrina
Nimeambatanisha na vielelezo vidogo for more clarification.
Kila la kheri!
View attachment 827601View attachment 827602
Ila hiyo picha naona kama alipiga usiku pia....Mkuu umesema ndio unatoka church mida hii lakini hiyo picha inaonyesha ni usiku (refer taa inayowaka kwenye nyumba nyuma ya gari)
Nasubiri hapa hapa!CCNP Engineer Humble African huku kaonesha salio lililomo kwenye account yake na document kadhaa......
Naomba screenshot ya salio la account tumalize mchezo mapema mkuu.....
Pasina na shaka na imani bwana CCNP Engineer hatotuangusha wanasayansi wenzake.......Nasubiri hapa hapa!
Yaani nisipokuwepo huwa anachonga ila nikitokea nduuuki anarudi shimoni haraka kama hivi kiiiiimy...! Mjambaji na screenshot yetu...njoo tunakusubiri hapa Mimi na wapiga kura wangu. [emoji16]Pasina na shaka na imani bwana CCNP Engineer hatotuangusha wanasayansi wenzake.......
Kwa heshima yangu screenshot itasoma kwenye huu uzi muda si mrefu......
Maswali ya Ki_WACK kwa wanaume wenzako ya nini?Pesa zawanaume wenzio we zanini
Nimefurahi kukuona mkuu kadoda11tuachane na elimu yako kwa muda.
kwa sasa tanzania kuna miradi mingi inayoendelea ikihusiana na masuala ya ukandarasi,tuambie katika fani yako ya uhandisi umeshiriki katika mradi gani au kwa sasa upo katika mradi wenye tija kwa taifa na unashiriki kama nani?.
nimeuliza kwa nia njema tu.
Humble African unamzungumziaje huyu CCNP Engineer hasa kutokana na namna anavyokuchafua katika nyuzi za watu wwngine .Maswali yanguYaani nisipokuwepo huwa anachonga ila nikitokea nduuuki anarudi shimoni haraka kama hivi kiiiiimy...! Mjambaji na screenshot yetu...njoo tunakusubiri hapa Mimi na wapiga kura wangu. [emoji16]View attachment 827645
Humble African nlikwambia kubishana na watu kama hawa ni kujidhalilisha,hv hujui wasomi wa sayansi ndo wanaongoza kwa uchizi afu mfukoni hamna kitu? Huyu hapa mjini bila udsm angepaskia bombani we achna nae tuNimefurahi kukuona mkuu kadoda11
Yaani uwepo wako na ile misako yako ya kibabe unayowapaga Wakenya... Huyu Ndezi leo akitoka ana Mungu. [emoji16]
Bhasi tosha mkuu..Huu uzi ndio nauona muda huu mkuu. Huwa sina tabia ya kujinadi ya kitoto kama huyu psycho anavyofanya maana hata watu wenye hela kama akina mengi huwa hawana haja ya kuvaa saa za Gucci ili waonekana wana hela ... Hii mentality hawana hata kidogo. The same na watu walio successful maishani... They are cool, calm and collected.
Inanilazimu niseme hili kwamba licha ya account zangu mbili muhimu, ya kwanza account ya online E-banking ya NETTELER na nyingine ya Bongo zenye kiasi kikubwa cha pesa kufungiwa baada ya kuingiza hela nyingi kuliko kawaida yake...narudia hela nyingi kuliko kawaida, na wahusika kuhisi labda inaweza kuwa money laundering au inaweza kuwa pesa zinataka kuangukia mikononi mwa magaidi na wao kuamua kublock access na transaction zote hadi pale nitapowapa documents zinazoweza kuverify without any reasonable doubts legality ya pesa zangu na sources zake ikiwemo pia kuwapa barua ya bank ambao nimekuwa mteja wao kwa miaka kadhaa.. Nimeweka hiyo hapo barua ya Crdb bank ikiwajulisha jamaa wa relax na kwamba Mimi ni bonafide customers... Mbali na hivyo kuna supporting documents kibao zingine nimetuma England kutoka Tanzania na South Africa zikithibitisha ile pesa kubwa ni yangu na source zilipotokea wamekiri hili. Sidhani kama itazidi miaka 3 nitakuwa na hela ambayo wewe utafanya kazi miaka hadi ustaafu usiipate...! But I'm cool sikuwa nataka watu wayajue haya but jamaa kaniprovoke.
Najua hana hela huyu jamaa na ana msongo wa Mawazo ndio maana hata anataka kukopa milion tano akimbie kazi https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1365777/..hela ambayo Mimi iko kwenye bank nisiyoitumia kihivyo... Exim Bank...Nina milion tano inamangamanga tu kule achana na CRDB, NMB au NETTELER E-banking ambayo hata jamaa haijui na kule Forex jamaa alinitapeli zaidi ya milion 9.
Na hapa natoka church nakula zangu baltika kiulaini, huku song za praise and worship zinatawala, huku Napush ndinga yangu as easy as Sunday morning...C'mooooon hivi maisha yanataka nini tena kwangu?
Kwenye maisha heshima pesa, salamu, elimu ni makelele tu! Tafuta hela kijana, mengine yatafuata.
Ndugu zangu sikupanga kujinadi na sijawahi kujinadi JF but huyu bwege mshinda juu ya minara kaniprovoke na nimegundua sio level zangu...nimeamua kumpuuuza. Cc bachelor sugu Zahra White amu Mama Sabrina
Nimeambatanisha na vielelezo vidogo for more clarification.
Kila la kheri!
View attachment 827601View attachment 827602
Hajielewi sana huyu jamaa kuna Uzi mmoja wa mgonjwa folk alikuwa anahitaji msaada kipindi kile yeye akaanza kuvurumusha matusi hadi kila mtu akamshangaa. Aache hii tabia ya kutukana kila sehemu haimsaidii bali inambomoa sana.Humble African unamzungumziaje huyu CCNP Engineer hasa kutokana na namna anavyokuchafua katika nyuzi za watu wwngine .Maswali yangu
-Je huyu ni engineer kweli
-Unahisi hii tabia unaweza kuikomesha kwa njia gani
-Je ni picha gani uliyonayo juu ya huyu mpinzani wako?.