Jina langu ni CCNP Engineer.
Nina degree ya Telecommunications Engineering.
Mimi ni Engineer wa computer networks (security and data center)
Mimi kama engineer hata siku moja siwezi kulinganishwa na mtu alosoma HKL. Topic moja ya chemistry (ORGANIC) nilosoma A-level ni equivalent to syllabus yote ya HKL form five na six jumlisha na GS.
Mimi kama mwanaume, ni udhalilishaji mbaya kabisa kunilinganisha na PUGI. Mimi sio PUGI, bali ni mwanaume. Waulizeni akina Rebeca 83 na amu na theriogenology na baba swalehe, wao ni mashahidi katika hili.
Huyu PUGI aliletaga UNAFIKI kwenye magroup ya TMT alivogundulika akatimuliwa na chyupi kichwani na Screenshort ninazo, na akibisha naweka namba yake ya cm hapa. Alikua Anatumia nickname ya Spiritual Crypto.
Conlusion:
Kumlinganisha Engineer na PUGI ni sawa na kusema kati ya FLOYD MAYWEATHER na CRISTIANO RONALDO nani mkali (Does it make any sense???)
Sifananishwi na wabwekaji!!!
Engineer atabaki kuwa Engineer, PUGI atabaki kuwa PUGI.
Hivo rasmi huu Uzi umefungwa. Hakuna maana. Ni udhalilishaji.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Likiisha hili pambano tutakaa mezani kuona tunalipromote vp,ila tafuta mwingine mi Mshana namuogopa asije akahamishia hasira zake kwangu akikushwindwa mlozi mwenzieMabattle ya kwenye keyboard nayapenda sana. Hebu nipambanisheni na mshana jr turogane[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Kwamba akapita na promota kutuliza hasira😃😃😃😃. Hilo tuliache tungalie hili kwanza.🍿🍿🍿🍿[emoji23] [emoji23] [emoji23] Likiisha hili pambano tutakaa mezani kuona tunalipromote vp,ila tafuta mwingine mi Mshana namuogopa asije akahamishia hasira zake kwangu akikushwindwa mlozi mwenzie
Mwanamme hawezi andika maneno kama haya tena kwa mwanamme mwenzake, lazima utakuwa na shida sehemu flani. Halafu umetoa vi sifa vya kijingajinga.Jina langu ni CCNP Engineer.
Nina degree ya Telecommunications Engineering.
Mimi ni Engineer wa computer networks (security and data center)
Mimi kama engineer hata siku moja siwezi kulinganishwa na mtu alosoma HKL. Topic moja ya chemistry (ORGANIC) nilosoma A-level ni equivalent to syllabus yote ya HKL form five na six jumlisha na GS.
Mimi kama mwanaume, ni udhalilishaji mbaya kabisa kunilinganisha na PUGI. Mimi sio PUGI, bali ni mwanaume. Waulizeni akina Rebeca 83 na amu na theriogenology na baba swalehe, wao ni mashahidi katika hili.
Huyu PUGI aliletaga UNAFIKI kwenye magroup ya TMT alivogundulika akatimuliwa na chyupi kichwani na Screenshort ninazo, na akibisha naweka namba yake ya cm hapa. Alikua Anatumia nickname ya Spiritual Crypto.
Conlusion:
Kumlinganisha Engineer na PUGI ni sawa na kusema kati ya FLOYD MAYWEATHER na CRISTIANO RONALDO nani mkali (Does it make any sense???)
Sifananishwi na wabwekaji!!!
Engineer atabaki kuwa Engineer, PUGI atabaki kuwa PUGI.
Hivo rasmi huu Uzi umefungwa. Hakuna maana. Ni udhalilishaji.
Nimeandika nimefuta nimeandika tena nikafuta naisi kuna kitu nakosea kusema all in all umenena vyema sanaa shukran sana Mh jah blessMwanamme hawezi andika maneno kama haya tena kwa mwanamme mwenzake, lazima utakuwa na shida sehemu flani. Halafu umetoa vi sifa vya kijingajinga.
Unamdharau mtu aliesoma HKL wakati unaweza ukakuta ndio anakuajiri na hako ka degree kako ka Telecom, wabongo tunapenda sana sifa za kijinga. Yaani kuwa na hicho ki degree ndio unaona umeukata na kuwatambia wenzako.
Angalia akina Zuckerberg, Bill Gates, Bakhressa, Manji n.k hawana huo ujinga unaoutambia lakini ndio wanatesa na maisha, hata ulio watolea mifano akina Ronaldo na Mayweather hawana elimu lakini wanatesa na maisha.
Leo wewe unakuja na ki degree chako uchwara unaanza kumtusi mtu. Ya nini yote hayo sasa na jamaa umemwandama kweli hata kwenye uzi mwingine umetema shit kuhusu yeye, mtoto wa kiume acha wivu usije kuta wewe ndo unayo yale unayomtolea yeye.
Haya mambo mkuu yaache tu na watu wenye sifa kama hawa ukiwakuta maisha yao hadi huruma.Nimeandika nimefuta nimeandika tena nikafuta naisi kuna kitu nakosea kusema all in all umenena vyema sanaa shukran sana Mh jah bless
Wewe bwe.. lazima upewe ukweli wako unaleta ujuaji wa kijinga hapa na ki degree chako ulichokipata kwa bahati mbaya.Unabweka sana Dogo mpaka mbwa dume nashindwa kuelewa hicho kibweko ni cha kuyaita madume yake yakupande ama unataka kuzaa.
next time bweka kwa ishara nzuri, kama ni madume, basi yapo ya kutosha humu, siko peke yangu.
Haya bweka tena, tuone kama umeelewa.
Ballagh-shaytwain Mufilis
Bweka nakusubiri pia maana naona kama watu wanakuogopa hivi au washagundua ujinga wako wakaona wakupotezee tu.Umejitahidi lakini bado sijaridhika.
Tafadhali bweka kwa mara nyingine.
Usibane sauti. Jiachie.
Unanichekeshaga sanaUmejitahidi lakini bado sijaridhika.
Tafadhali bweka kwa mara nyingine.
Usibane sauti. Jiachie.
Hio Degree una uhakika gani?Wewe bwe.. lazima upewe ukweli wako unaleta ujuaji wa kijinga hapa na ki degree chako ulichokipata kwa bahati mbaya.
Unajifanya mjuaji kumbe huna lolote. Kuna wenzio waliobobea katika ujinga unaojisifia lakini hawana hata habari, halafu wewe uje kuwatolea maneno machafu wenzio.
Ninauhakika utakua hujalelewa na wazazi wako wewe. Maana hamna mtoto kalelewa na wazazi wake akawa mshamba kama wewe au yawezekana elimu yako umeipatia uzeeni na hukuwa na matumaini ya kuifikia sasa imekua tabu. Sijui mtaani kwako watu wanapata shida kiasi gani.
Mwana hara...u wewe.
Sina hata uhakika mkuu ila basi tu nimeaikia kwa kujisifia kwake, possibly hata hana. Ujue ni vigumu sana pia kwa alienacho kujisifia tusio na kitu ndio tunakuwaga na misifa kibao. Yawezekana upo sawa aisee.Hio Degree una uhakika gani?
Mbona alishaanika cheti chake humuuSina hata uhakika mkuu ila basi tu nimeaikia kwa kujisifia kwake, possibly hata hana. Ujue ni vigumu sana pia kwa alienacho kujisifia tusio na kitu ndio tunakuwaga na misifa kibao. Yawezekana upo sawa aisee.
Uzur adui ake hana habari kabsa na yeye.Sina hata uhakika mkuu ila basi tu nimeaikia kwa kujisifia kwake, possibly hata hana. Ujue ni vigumu sana pia kwa alienacho kujisifia tusio na kitu ndio tunakuwaga na misifa kibao. Yawezekana upo sawa aisee.