KingKacha
Senior Member
- Jun 15, 2016
- 118
- 119
Wadau kuna jamaa mmoja alinitonya kuna kampuni flan imeamua kutengeneza battery tofauti tofauti za haya masimu yetu brand ambazo zinakula sana chaji.
Hiyo battery inakaa na chaji siku 1 hadi 2 ikiwa na data on.
Je ushakutana nazo? Zinaitwaje? Zinapatikana wapi? Na bei je? (Nijuze kama unazimanya kwa Moro,Iringa,Mbeya na Dar)
Mfano zipo za Samsung Note zipo za Iphone n.k
Bei yake mtaniambia..........
Feki zake pia zipo ila fundi ni anajuaa blaa. Sisi tukipata tunampelekea.
Naomba mwenye vidokezo atujuze.
Hiyo battery inakaa na chaji siku 1 hadi 2 ikiwa na data on.
Je ushakutana nazo? Zinaitwaje? Zinapatikana wapi? Na bei je? (Nijuze kama unazimanya kwa Moro,Iringa,Mbeya na Dar)
Mfano zipo za Samsung Note zipo za Iphone n.k
Bei yake mtaniambia..........
Feki zake pia zipo ila fundi ni anajuaa blaa. Sisi tukipata tunampelekea.
Naomba mwenye vidokezo atujuze.