..... Batilda atagoma kusaini matokeo hahahahaha imekula kwaoSiku ya kufa nyani ...................
Life's challenges are not supposed to paralyze you, they're supposed to help you discover who you are !SIGN TU MAMANimepigiwa simu sasa hivi na mtu aliyepo Manispaa Arusha mjini anasema Batilda anakataa katakata kusaini fomu ya matokeo...Wakazi wa Arusha kwa ujumla wao wamezunguka ofisi hizo na wamejaa sana na kufunga barabara zote, hapapitiki kabisa kwa usafiri wa magari!
Nafuatilia zaidi.
Si unajua mkuu udocta wao ni wa kubahatisha, yawezekana hahitajiki kwingine maana kama ni potential asingehangaikaYuko chali nini mkuu? Asaini fasta Doctor mzima anaogopa? Si akatafute kazi zingine huyu mama vipi?
Yuko chali nini mkuu? Asaini fasta Doctor mzima anaogopa? Si akatafute kazi zingine huyu mama vipi?