Bata mzinga wanauzwa

Bata mzinga wanauzwa

Tumainiandy

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2014
Posts
430
Reaction score
91
Nauza bata mzinga wakubwa wanakaribia kutaga na ni tayari kwa nyama wako 8 waliobaki jike 6 na dume wawili kwa Tshs 175000 kwa mmoja.
Ahsante
 
Unamaanisha kwa hapo uko na million bata mzinga 8???? & acha nami nianze kuwafuga ikifika june 2016 nami nishike 20million
 
Nauza bata mzinga wakubwa wanakaribia kutaga na ni tayari kwa nyama wako 8 waliobaki jike 6 na dume wawili kwa Tshs 175000 kwa mmoja.
Ahsante

Mkuu naomba ukifanikiwa kuuza kwa hiyo bei unambie maana ninao wengi.
 
Wewe uko wapi? mimi nataka bata mzinga wa kufuga, nipe bei.

Pata bata mzinga mkubwa wa kitoweo kwa shs. 150,000.00 na wa kufuga mwenye umri wa wiki 8 kwa shs. 35,000. Piga simu no 0715 284 187. Tuko Mbezi Luis Kinondoni - Dar es Salaam
 
Wanalishwa nini hawa bata mzinga? Nakusudia kuwafuga shamba huko mkuranga mbele ya dondwe
 
Mkuu naomba ukifanikiwa kuuza kwa hiyo bei unambie maana ninao wengi.

Unao kiasi gani mkuu??,halafu naomba ufafanuzi kidogo wa jinsi ya kuwafuga.matharani vyakula vyao,sehemu ya kuwafugia,magonjwa,halafu utagaji wa mayai,wanataga mangapi na je yanachukua muda gani hadi kuangua vifaranga?.
 
Unao kiasi gani mkuu??,halafu naomba ufafanuzi kidogo wa jinsi ya kuwafuga.matharani vyakula vyao,sehemu ya kuwafugia,magonjwa,halafu utagaji wa mayai,wanataga mangapi na je yanachukua muda gani hadi kuangua vifaranga?.
Nilishawauza mkuu,hawana tofauti na kuku kwenye chakula,wanataga mayai 8-12,wanatamia siku 18.
 
Back
Top Bottom