bandugu,,nani kaimba huo wimbo wenye chorus
inaimbwa ,,,basoba dugu dugu,,,,,,,,,ni wa
kikongo.,,msaaada plz ,,nisaidieni tu.coz nimeshapost jukwaa la burudani lakn zaidi ya mwezi cjapata jibu,,nadhan hapa nitafanikiwa
Ni rapa maarufu Mbuta Likasu ktk moja ya rap zake zilizompatia umaarufu. sina hakika alikuwa na bendi gani ila kuna wakati alishawahi kutoka kivyake na staili yake ya uchezaji huku kaweka kitambi bandia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.