Ngareroo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2019
- 2,049
- 2,249
Habari za wakati huu wakuu..Hopeful mko poa,,Mimi in shabiki mkubwa sana na mchezaji pia wa mpira wa Kikapu..Karibuni kwenye Uzi huu mahususi kabisa kwa Mpira wa kikapu kwaajili ya kupeana Updates,Uchambuzi,Tutajifunza sheria za mchezo huu pia na vitu kaa hizo kuhusu Basketball..Huu ni mchezo wa Mabishoo pia,Kama hueleweki hufai huku(Natania bhana)..Ukizingatia Taifa Cup inaanza mwezi huu wa 11(November) pale chuo kikuu cha Dodoma "UDOM"..
Karibuni sana
@NgarenaroBoyView attachment 1994021View attachment 1994020View attachment 1994024View attachment 1994022View attachment 1994023
Karibuni sana
@NgarenaroBoyView attachment 1994021View attachment 1994020View attachment 1994024View attachment 1994022View attachment 1994023