Basil Mramba in graft probe

Keil

JF-Expert Member
Jul 2, 2007
2,214
803
Basil Mramba in graft probe

-Focus on corruption allegations linked to five-year stint as finance minister

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam
 
Mramba The Only Man Who Has Managed To Mramba The First Mama ANNE MKAPA WACHA BEN MAKAPI KAMA KNA MTU MWINGINE EBU TUAMBIENI SAMAHANI KWA HII DE TOUR, KUCHEPUKA KIDOGO.
 
Mramba The Only Man Who Has Managed To Mramba The First Mama ANNE MKAPA WACHA BEN MAKAPI KAMA KNA MTU MWINGINE EBU TUAMBIENI SAMAHANI KWA HII DE TOUR, KUCHEPUKA KIDOGO.

Hii tabia ya kuchunguza uhusiano na kuupondea ni mbaya sana, si umbea tu ni udaku. Mnaanza hivi kidogo mwishowe itakuwa Anna ni malaya. Je wewe umeshakuwa na wanawake wangapi katika kipindi ulichojaaliwa kuishi? tuambie kwanza ya kwako.
 
Mra!! Mra!! Mrambaaaaaa!! Shemeji upo??? Kicheche kingine mi nilidhani wa-tz wamekisahau kumbe walikiweka kiporo tu??? sasa ngoma inogile haka kazee si ndio kalisema si tule majani lakini lazima ndege inunuliwe???

Mi nadhani mungu lazima atampiga kofi la usoni na uchafu wake wote utawekwa hadharani then tumfanyie kweli..Kajizi sana haka eti kana CV ya ufisadi ya hatari mwanawane...Ngoja tusubiri.. Tunasubiri kwa hamu sana hiyo maneno.
 
Tanzania corruption food web has ascended now to Mzee wa Nyasi (HERBVORES)aka pesambili.Where's that crooked speech now?The battle is at your door.Who can bring him to see what will be after him few days?

So far still remembering" Omnivores",the great one "Wivu wa kijinga huo",the full stomach of your richness from Kiwira will never let you asleep,as long as the carnivores from richmond is striving to kill more after the most known scavengers at Rada deal,EPA and Ticts shortly vanished.
 
Mie nashangaa hii serikali ya JK. Unamchunguza mtu kama Mramba wakati mwenzake Mgonja bado anakalia sofa pale hazina. Sasa huyo Mgonja hawezi kuharibu vielelezo ambavyo vinaweza kutumika kama ushahidi?? Maana Mgonja naye ni fisadi, na yote hayo yote ya EPA, Twin Tower na matakataka mengine yametokea under his watch. JK alitaadharishwa na JF pamoja na wananchi wengine juu ya Mzee wa VIJISENTI (CHENGE) lakini masikio yake yalikuwa na NTA. Matokeo yake yakawa ni aibu kwake. Sasa tusubiri ya MGONJA maana JK anajifanya kwa mara nyingine masikio yake kuwa na NTA.
 
Tunashukuru Kuambiwa Kuwa Pccb Wanamfanyia Kazi Huyu Mtumishi Mramba; Is Fine But Watuambie Baada Ya Uchunguzi Wao Maana Magazeti Yetu Yamedumu Kwa 3yrs Now Vyanzo Vyetu X7x7x7 Is Too Much . Hawa Jamaa Wa This Day Hawajatuonyesha Umakini Wao Ktk Hili Sakata Au Chanzo Ni Hapa Kwetu Jf? Mwandishi Makini Na Gazeti Makini Hawawezi Kutupatia Habari Za Kukurupuka Kila Kukicha! Isomeni Hiyo Story Vizuri Na Muwaulize Hawa Jamaa Hili Wanaloripoti Ni Jipya ? Na Kwanini Watudanganye Kuwa Mramba Alikuwa Waziri Wa Viwanda 1995-00? Wameshasahau Kuwa Kipindi Hicho Alikuwa Rc Mbeya Na M/kiti Wa Bodi Wa Ndege Yetu Ya Swala?????
 

They are just spining the weel as usual hamna cha maana, nani anamchunguza mramba, mna uhakika hiyo taasisi inayomchunguza ni safi kiasi cha kufanya kazi hiyo? Its the usual spining kuwadanganya wadanganyika ili waendelee kuwepo madarakani na kufisadi zaidi.
 
Kila mtu atauchukua msalaba wake mwenyewe.Saa imefika.Awamu ya 4 inaendelea na shughuli za kuisafisha nchi.
 
Mramba The Only Man Who Has Managed To Mramba The First Mama ANNE MKAPA WACHA BEN MAKAPI KAMA KNA MTU MWINGINE EBU TUAMBIENI SAMAHANI KWA HII DE TOUR, KUCHEPUKA KIDOGO.

hahahaha nasikia mzee mzima BEN eti haifunction kabisaaa hana mambo kabisa ndo maana jamaa akawa anamchapia.
Eti ni kweli jamaa BEN ana mtoto kweli??kwani nasikia ndugu wa mamaa wanadai hana chake hata wa kusingiziwa sasa inabidi wapimwe DNA tujue tu jamani!!!
 
Wote waliokuwa karibu na fisadi Mkapa wanahusika kwa namna moja au nyingine kwa ufisadi. Kuna mabalozi wawili mmoja aliteuliwa siku chache kabla ya fisadi Mkapa kumaliza muda wake. Mmoja yuko Sweden na mwingine US ambaye inasemekana alihamishiwa huko ili 'akasimamie biashara za fisadi Mkapa' US kwa ombi alilofanya fisadi kwa Muungwana. Pia inasemekana huyo ndiye aliyemuuguza alipokuwa kalazwa Switzerland. Hawa wawili nao ingekuwa vizuri nao wakachunguzwa maana sia ajabu wanajua mengi kuhusiana na ufisadi alioufanya fisadi Mkapa.
 

Wakuu,

mbona huyu mwandishi nae mpotoshaji? Mramba hakuwa waziri wa viwanda na biashara 1995-2000.Alikua amekosa ubunge huko Rombo ambo ulikwenda kwa Mhe.Justine Salakana wa CHADEMA.Huyu alipoboronga ndipo warombo wakamchagua huyu mfisadi.

1995-2000 alikua mkuu wa mkoa wa Mbeya aliozawdiwa na Mkapa.

Ni vizuri kama mkapa anchunguzwa maanke huyu ndio mtu wa karibu mno na Mkapa na mkewe.Good move!
 

Sorry,i mean Mramba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…