Mgamba litakufaa,nenda nyegezi utawakuta maagent wa bus hilo watakusaidiaJamani next week nataka kusafiri toka Mwanza kwenda Arusha,naulizia basi zuri luxury pamoja na nauli zao,ikiwezekana nipate na number za Agent wao!saidieni wanajanvi
Yote yanatokea Nyegezi au Buzuruga ?hiyo ni 2 by 2 au ?Panda isamilo nauli ni 35
Lipi lina mwendo mzuri kiongozi?Kama hupendi safari za roho mkononi panda Isamilo.
Ohhh Mghamba yenye chata hizo ndo mazuri vipi lenye speed ndogo ?Sasa hivi Ars to Mza mabasi mazuri ni Asante Rabi na Kaprikoni Mghamba labda upate Inter trade na Brigedia mengine mabovu
Nauli ngapi?Mghamba ya Moshi ndio nzuri, ya arusha ni yakawaida ila nauli ni moja, panda la kuelekea moshi ndio jipya
okMgamba litakufaa,nenda nyegezi utawakuta maagent wa bus hilo watakusaidia