Basi sina ujanja tena

Angalia alternative yake chini hapo. . Anaweza akawa kamaliza 2009 BT diploma level akawa kamaliza kati ya 2014_2016 kama wanavosema
Nadhani hujasoma vizuri hicho kipengele nilichokiweka... hakina exeption hiko.
 
Hata mdogo kaandikiwa hivyo na amepangiwa course wanazodai ni kipau mbele lakinj cha ajabu kwa SUA wametoa majina 1024, lakini tumejipiga piga tumrpata ada ya nusu mhula iki afanye usajiri lakini maisha ya chuo yamekuea magumu coz accomodation imekuwa taabu, sasa sijui atapewa mkopo batch ya pil tumuachie Mungu
:) Kama yupo SUA anaweza pangiwa batch za lala salama.......asee mie boom la mwaka wa kwanza ndiyo nimeingiziwa zote mwaka wa pili:mad:
Hata mdogo kaandikiwa hivyo na amepangiwa course wanazodai ni kipau mbele lakinj cha ajabu kwa SUA wametoa majina 1024, lakini tumejipiga piga tumrpata ada ya nusu mhula iki afanye usajiri lakini maisha ya chuo yamekuea magumu coz accomodation imekuwa taabu, sasa sijui atapewa mkopo batch ya pil tumuachie Mungu
Kama yupo course ya priority hapa SUA mkopo lazima hapate lakini anaweza pangiwa batch za lala salama:)
 
Back
Top Bottom