Basi la Princes Munaa lapata ajali Dodoma


Kinachotushangaza ni kwamba huyu mkuu amespecialize kwenye habari za ajali Tz nzima? yaani sidhani kama watu wanampa majina kwa dhumuni baya bali wanashangazwa na hii specialization. Huyu mkuu anatoa habari na kukoleza na picha kabisa kwa coverage ya 80+ ya area ya Tz
 

Hii habari kiukweli haijakamilika! Nini chanzo cha ajali? Abiria walikuwa wangapi-lakn hasa walioumia wangapi? Majeruhi wamepelekwa hospitali gani? nk mkuu! Uandishi wa habari si lazma upite DSJ/TIJ,jaribu kujiuliza tu mwenyewe wananchi watataka kujua kitu gani zaidi juu ya taarifa hii! Watu wanakwenda DSJ kufundishwa mambo ya ITIFAKI kwenye habar yako!
 
Ati nilisikia maaskari usalama barabarani hawajihusishi tena na ratiba za mabasi pia tochi hakunaga thiku hizi so ndio hivyotena,
 
Wahanga poleni sana.

Hii imezidi sasa
 
Chanzo kikuu cha ajari za sasa niongezeko la magari wakati barabara ni zile zile,
 
Hii pia imetokea leo maene ya soni kuelekra lushuto. Nusura basi la kampuni ya burudani litumbukizwe kolongoni na lorry la mafuta ambalo lilipoteza breki.
 

Attachments

  • 1428936732527.jpg
    70.3 KB · Views: 770
Imetokea jana...

Hii pia imetokea leo maene ya soni kuelekra lushuto. Nusura basi la kampuni ya burudani litumbukizwe kolongoni na lorry la mafuta ambalo lilipoteza breki.
 
Sijui tusemeje?
Je, ni vipuri feki?
Ama ni mwendokasi wa madereva wetu?
Au ni leseni za kuletewa nyumbani na shem?
Au ni miundo mbinu yetu mibovu?


Lakini KWA NINI YANATOKEA SASA NA KWA MFULULIZO???

@@@@
 



Kama filamu vile kumbe ni hali halisi
 
sababu magari ya kichina mepesi sana hayawezi kuhimili upepo na mvua kwenye rami
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…