mkuu nina uzoefu na hayo mabasi......ukitaka kufika haraka panda mabasi yafuatayo super sami zingzong ,musoma bus hili huwa linakimbia sana, isamilo luxury hili lina power cable kila siti kama una smartphone hapa utaenjoy full charge mpaka unafika,zubery luxury 2 by 2 nauli yao 40,000 hayo mengine kuanzia 55,000 hadi 45000.....kuna haya yafuatayo hua yana siku zake kama yasipopata hitilafu njiani hayo ya juu ni cha mtoto kuna kuna princess muro T954AGW hila basi hua ni la kwanza kama kusipotokea tatizo njiani na mpaka nimeshika namba niliambiwa na mdau mmoja na ndio basi la muro wanalotegemea, happy nation hii kitu hua inakimbia lakini halina guarantee ipo siku litafika la kwanza cku nyingine utalala dodoma.......yale ya juu ya kwanza ni mabasi ya uhakika