Tulikuwa tukitokea Arusha tulipofika maeneo ya mto Ruvu mvua ilianza kunyesha kubwa na dereva akiwa speed ghafla ikatokea basi la Muro likiwa liko upande wetu.Tukataka kugongana uso kwa uso na kilichofanyika dereva alilikwepa kwa kutoa Gari nje kwa upande wa kushoto.
Baada ya Muro kupita dereva wa Machame akarudisha basi upande wa kulia ndipo ilipomshinda na kuitoa nje na kujikita kwenye kimuinuko na kuharibika show ya mbele yote ila mwendo kasi kwa basi letu ndiyo chanzo.
Baada ya Muro kupita dereva wa Machame akarudisha basi upande wa kulia ndipo ilipomshinda na kuitoa nje na kujikita kwenye kimuinuko na kuharibika show ya mbele yote ila mwendo kasi kwa basi letu ndiyo chanzo.