Basi la Kampuni ya Luwinzo, T853 AUA lapata ajali Morogoro

Basi la Kampuni ya Luwinzo, T853 AUA lapata ajali Morogoro

Hili gari hata mi nililipanda mara moja lakini kwa uendeshaji ule ajali isingeepukika. Yule dereva sio
 
  • Thanks
Reactions: Kig
Picha kutoka eneo la ajali, Picha nyingine sitoziweka ila kuwasitiri marehemu

IMG-20150319-WA0017.jpg IMG-20150319-WA0016.jpg IMG-20150319-WA0009.jpg IMG-20150319-WA0012.jpg IMG-20150319-WA0013.jpg
 
hizi accidents sasa zimezidi...ni nini hasa?!rip waliofariki wote poleni majeruhi na watanzania wenzangu!
 
hii company ya kutengeneza mabody ya DAR COACH mbona magari yake yanapata ajari sana? hasa hiyo version ya body wanazoziita DIAMOND maana ni km ile ya mafinga/majinja na ile ya mikumi/FM safaris ,,hii ni ajari ya 3 ndani ya wiki 2 tu
 
hizi accidents sasa zimezidi...ni nini hasa?!rip waliofariki wote poleni majeruhi na watanzania wenzangu!
Jibu la swali lako ni "MADEREVA" na "SERIKALI". Jiulize dereva anaendesha basi kwa leseni daraja C aliyonunua kutoka kwa mamlaka zinazotoa leseni kama atakuwa na ufahamu wowote wa anachokifanya. Hivyo elimu ya madereva hasa sheria za barabarani ni muhimu sana kabla ya kukabidhiwa leseni. Bila hilo vifo vitaendelea kutokea na hili linasikitisha sana kwani hakuna anayejali kwa upande wa serikali, zaidi ya kusema tuko pamoja na wafiwa.
 
hii company ya kutengeneza mabody ya DAR COACH mbona magari yake yanapata ajari sana? hasa hiyo version ya body wanazoziita DIAMOND maana ni km ile ya mafinga/majinja na ile ya mikumi/FM safaris ,,hii ni ajari ya 3 ndani ya wiki 2 tu
Bodi ya gari haipeleki gari upande wa pili wa barabara. Wanaopeleka hilo gari kwenye wrong side ni dereva na ile impact hata uwe na bodi nzuri bado maafa yatatokea tu. Hivyo kitu cha kufanya ni madereva kuwa waangalifu na kujali uhai wa abiria. We only live once!
 
This is too much sasa......a a......
 
Kwa mujibu wa taarifa ya habari radio one ni watu 10 waliopoteza maisha.
 
dar coach nao wachunguzwe hizi body wana tumaliza

Vyanzo vya ajali vinaeleweka kuwa ni mwendokasi na uzembe wa madereva. Kuzungumzia kampuni inayotengeza bodi za mabasi ni kutoka nje ya mada. Madereva wengi ni vichaa, wana akili za kuku hawajali wala kuheshimu sheria za barabarani. Pia hawaendeshi magari kwa kujihami.
 
kuna basi la kampuni hii linafanya safari Dar to Iringa yani mara kibao likifika kitonga linafeli kupanda mlima na wakati mwingine lina feli breki....ni hatari sana aisee...
 
Kuna wapuuzi kama kawaida wanaanza kuzungumzia body builder wa gar sasa huyo anasababisha vip au kuzuia ajali? Tatizo kubwa kwa ajali za kugongana hasa uso kwa uso ni derEva na mm ninayeandika haya ni derva wa magar haya haya.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
mi naona barabara za Dar to Mwanza, Dar to Mbeya, Dar to Arusha zipanuliwe ziwe njia nne, hizi njia zina magari mengi na kukosea wakati wa kuovertake kupo tu..na ufinyu wa barabara hatari ya kugongana ni kubwa...
 
mi naona barabara za Dar to Mwanza, Dar to Mbeya, Dar to Arusha zipanuliwe ziwe njia nne, hizi njia zina magari mengi na kukosea wakati wa kuovertake kupo tu..na ufinyu wa barabara hatari ya kugongana ni kubwa...

Hata upanue barabara iwe kama uwanja wa taifa kwa madereva hawa wanywa viroba ajali zitaendelea tu..we mtu dereva analala saa nane usiku anakunywa viroba akitoka hapo anachukua dudu la kupiga mikasi..alipiga mitindo mpaka 11 aamke apande bajaj kwenda kuamsha popo ubungo kwenda njombe sijui wapi..lazima ajali zitokee
 
Kuhusu eti ni mabody ya dar coach.hayo ni mawazo mgando.angalia ajali chanzo cha ajali.usiharibu biashara za watu
 
hizi accidents sasa zimezidi...ni nini hasa?!rip waliofariki wote poleni majeruhi na watanzania wenzangu!

uchaguzi karibia,makafara yanahitajika kwa wanasiasa,mola awarehemu wanaopoteza maisha
 
Back
Top Bottom