hata ukisamamishwa na polisi angalia kwenye driving mirror yako gari inayokufuata je ipo the same speed na je ni salama si kwa sababu umesimamishwa lazima usimame .. wakikumata mbele unawaambia haikuwa salama pale .. usalama kwanza tuache woga
wanaelewa kabisaNashukuru kwa maelezo hayo nakumbuka nilishafanya hivyo pale kabuku nilisimama like 700m toka aloposimama traffic nikamueleza same to your words above hakuwa na lakusema
Kwa yeyote mwenye mazoea ya kupanda magari ama kuendesha....anapata picha halisi jinsi ajali ilivyo sababishwa na TRAFIKI....Chanzo cha ajali ndicho kimenivutia ktk habari husika. Polisi wa usalama kasimamisha gari dogo then mwenye basi kaligonga kwa nyuma. Trafiki wanatabia ya kusimamisha magari sehemu ambazo sio salama na hamna parking...