Duh hizi ajali Mungu aepushie
Nna safari siku si nyingi nikiwaza hizi ajali natamani kuahirisha
Duh basi Mungu atuepushie mbali
fanya kutembea kwa miguu...
au njoo nikuazime baiskeli yangu...
Mkabidhi mungu wako.Duh hizi ajali Mungu aepushie
Nna safari siku si nyingi nikiwaza hizi ajali natamani kuahirisha
Habari ni za kweli ni eneo la Ungumarwa karibu na Misungwi kuna staff wenzetu wanne walikuwa kwenye basi hilo wanatoka semina Moshi wawili kati yao wamethibitika kufariki ndio tupo kikaoni tunaomboleza lakini hatuna taarifa kamili kama kuna vifo zaidi au laa, ntawajuza waliokwenda hospitali misungwi watakaporudi.
Habari ni za kweli ni eneo la Ungumarwa karibu na Misungwi kuna staff wenzetu wanne walikuwa kwenye basi hilo wanatoka semina Moshi wawili kati yao wamethibitika kufariki ndio tupo kikaoni tunaomboleza lakini hatuna taarifa kamili kama kuna vifo zaidi au laa, ntawajuza waliokwenda hospitali misungwi watakaporudi.
Poleni sana mliyopata msiba,muwe na moyo wa subira,na waliyoumia, Mungu awape uzima waendelee na shughuli zao za kila siku.Habari nilizozipata punde nikuwa basi la abiria toka Moshi kwenda Mwanza jioni hii limepata ajali baada ya tairi la mbele kupasuka. Habari zaidi zitafuata.
source:RFA.
Habari ni za kweli ni eneo la Ungumarwa karibu na Misungwi kuna staff wenzetu wanne walikuwa kwenye basi hilo wanatoka semina Moshi wawili kati yao wamethibitika kufariki ndio tupo kikaoni tunaomboleza lakini hatuna taarifa kamili kama kuna vifo zaidi au laa, ntawajuza waliokwenda hospitali misungwi watakaporudi.
Kwa habari za kuaminika dereva alisababisha ajali alichukulia gari shinyanga na alikuwa anaendesha gari very roughly lakini abiria walikuwa wakimwambia anawapuuzia sana na hadi baadhi ya habiria kupiga simu kwa RTO Mwanza bila mafanikio mpaka gari kupata ajali
Duh! yaan hata RTO alipuuzia hiyo taarifa, hii tanzania bure kabisa.
Inasemekana RTO alikuwa bar analewa Jana kwa sababu mimi nilikuwa eneo la tukio lakini hakuwepo katika eneo la tukio