Mkuu Kennedy ​muwage mnarudia basi kusoma mnachoandika, unaweza ukakufuru hivi hivi, "awanye?" ndio nini sasa mkuu!?Poleni. sana
Mungu awanye haraka majeruhi wote.
Poleni. sana
Mungu awanye haraka majeruhi wote.
Kafara??????? Waliouwa mwisho wa mwaka wameongeza magari kadhaa mapya.
Poleni. sana
Mungu awanye haraka majeruhi wote.
News Alert: Ajali: Basi la Hood laua mmoja na kujeruhi 27 By mge in forum Habari na Hoja mchanganyiko
Replies: 46 Last Post: 23rd December 2013, 11:55
hii habari moja? ama mleta mada wa leo ameona habari ya kwanza haikupewa attention that kaamua kurudisha uzi upya, maana naona kuna tofauti kidogo tu! majeruhi ni sawa 27, kampuni ya bus ni ile ile, japo tofauti ni idadi ya watu walifariki na eneo la ajali! poleni wafiwa na majeruhi