ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,585
Watu 3 wamefariki na 27 wamejeruhiwa ktk basi la Hood linalotoka Iringa kwenda Arusha baada ya basi hilo kupinduka eneo la Makanya jioni ya leo.
rip marehemu..
Watu 3 wamefariki na 27 wamejeruhiwa ktk basi la Hood linalotoka Iringa kwenda Arusha baada ya basi hilo kupinduka eneo la Makanya jioni ya leo.
Hii ni ajali mpya imetokea leo trh 19 Jan 2014,siku ambayo Nkamia na Nchemba wameteuliwa kua manaibu waziri.
News Alert: Ajali: Basi la Hood laua mmoja na kujeruhi 27 By mge in forum Habari na Hoja mchanganyiko
Replies: 46 Last Post: 23rd December 2013, 11:55