herikipaji
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 1,198
- 1,345
Abiria aliyepanda Ilyana Bus no. T202 B.. kutoka Dar es salaam kuelekea Songea leo tarehe 9 Oct. 2016 ambaye konda na dereva wa basi hili mmemshusha njiani kwa nguvu usiku huu amepotea. Abiria alipokata ticket Ubungo tarehe 8 Oct. 2016 alielekeza kituo anachoteremka na mkamkubalia kwani kituo halali na kinafahamika lakini Basi lilipofika mkakataa kusimama na mkamshusha porini mmefanya jinai kinyume na kanuni na sheria za Sumatra.
Abiria wa Dar to Songea kuweni makini hili basi la ILYANA lina huduma mbovu sana na halifai kwa usafiri.
Dereva na konda mna kesi ya kujibu.
Abiria wa Dar to Songea kuweni makini hili basi la ILYANA lina huduma mbovu sana na halifai kwa usafiri.
Dereva na konda mna kesi ya kujibu.