Basi gani nzuri kutoka Arusha kwenda Mbeya?

Basi gani nzuri kutoka Arusha kwenda Mbeya?

Mkuu basi la uhakika ni Gracious the navigator. Unafika Mbeya saa tatu na nusu mpaka saa nne japo huwa linafuatiwa na Arusha express.
Arusha express ndo baba lao hapo hood anapita moro ko distance inakuwa ndefu gracious ni scraper
 
Arusha express ndo baba lao hapo hood anapita moro ko distance inakuwa ndefu gracious ni scraper
Bwana we unamkataa Gracious wakati watu kila siku tupo Kihesa tunabet nani atatangulia kupita, na kila siku Gracious anamuacha Arusha express kuanzia nusu saa mpaka dk 45. Labda kidogo ungeniambia Respect ndio alikuwa anamsumbua Gracious. Lakini kwa sasa Gracious ndio kiboko yao njia hiyo hasa lile lililoandikwa Trump ya Ching Chong kwa nyuma.
 
Unatoka kwenye barafu unaekwenda kwenye baridi, panda WASAFI EXPRESS unafika salama kabisa.

[emoji1] [emoji23] [emoji119]
 
Precision mpaka Dar the ndege yetu ya bei poa mpaka. Mby
 
Bwana we unamkataa Gracious wakati watu kila siku tupo Kihesa tunabet nani atatangulia kupita, na kila siku Gracious anamuacha Arusha express kuanzia nusu saa mpaka dk 45. Labda kidogo ungeniambia Respect ndio alikuwa anamsumbua Gracious. Lakini kwa sasa Gracious ndio kiboko yao njia hiyo hasa lile lililoandikwa Trump ya Ching Chong kwa nyuma.
Asanteee sanaa mkuuu ngoja nitaipanda na mbeya Gracious inafika saa ngap ?
 
Si useme tu,unataka linalo kimbia sana.cyo kuzunguka eti linalo wahi kufika.panda Yale ya mh kwan hayapgwi mkono hata mizan hayapit
 
Bwana we unamkataa Gracious wakati watu kila siku tupo Kihesa tunabet nani atatangulia kupita, na kila siku Gracious anamuacha Arusha express kuanzia nusu saa mpaka dk 45. Labda kidogo ungeniambia Respect ndio alikuwa anamsumbua Gracious. Lakini kwa sasa Gracious ndio kiboko yao njia hiyo hasa lile lililoandikwa Trump ya Ching Chong kwa nyuma.

Scania 95 310 ile...uwezo mkubwa.
 
Back
Top Bottom