Basi gani nipande kwenda Mwanza?

Basi gani nipande kwenda Mwanza?

Habari zenu wadau...

Nina safari ya Mwanza kizazi na ndio mara yangu ya kwanza kufika kwenye mji huo...

Ni basi gani ambalo lina huduma nzuri linalofanya safari zake Kati ya Dar na Mwanza..

Shukran za dhati kwa watakaonipa majibu ya swali langu

Kampuni yenu inechoka sana safari ya Kikazi(Kizazi) unapanda gari? Kwanini usipande Mwewe?
 
I used to take Green Star bus a luxury bus from Dar es salaam to Mwanza.it is a very luxury bus that you can enjoy your journey. They are bring comfortable to the customers with the good speed control. for sure you will enjoy to travel with Green Star Buses and hope you will find me and appreciate.
 
I used to take Green Star bus a luxury bus from Dar es salaam to Mwanza.it is a very luxury bus that you can enjoy your journey. They are bring comfortable to the customers with the good speed control. for sure you will enjoy to travel with Green Star Buses and hope you will find me and appreciate.

Mwenzio kauliza kwa kiswahili wee umejibu kizungu sasa jina la basi ni lipi hapo?
 
Super najimunisa the pride of mwanza Daaaa ili bus ni sheeder supana mkononi
 
Habari zenu wadau...

Nina safari ya Mwanza kizazi na ndio mara yangu ya kwanza kufika kwenye mji huo...

Ni basi gani ambalo lina huduma nzuri linalofanya safari zake Kati ya Dar na Mwanza..

Shukran za dhati kwa watakaonipa majibu ya swali langu

Igembe Nsabo
 
Habari zenu wadau...

Nina safari ya Mwanza kizazi na ndio mara yangu ya kwanza kufika kwenye mji huo...

Ni basi gani ambalo lina huduma nzuri linalofanya safari zake Kati ya Dar na Mwanza..

Shukran za dhati kwa watakaonipa majibu ya swali langu

Mkuu kama Safari yako ina wiki moja mbele ni bora ufanye booking FastJet tu ili kuepuka Usumbufu na Uchovu wa Safari Mana Gharama za Nauli plus Usumbufu ukiongeza kidogo tu na FastJet unakuwa Mwanza ndani ya lisaa tu ila kama unataka kufanya Utalii wa ndani Isamilo,Nyehunge na Igembe Nsabo kazi ni Kwako
 
Habari zenu wadau...

Nina safari ya Mwanza kizazi na ndio mara yangu ya kwanza kufika kwenye mji huo...

Ni basi gani ambalo lina huduma nzuri linalofanya safari zake Kati ya Dar na Mwanza..

Shukran za dhati kwa watakaonipa majibu ya swali langu

Panda Princess Muro au Princess Shabaha wako vizuri sana kwa huduma zao ukikoswa kabisa chukua hata Isamilo. Safari njema mkuu
 
Princess munaa ndo nilipandaga hilo safari ya kwanz Mwanza to dsm

ilikuwa poa
 
Habari zenu wadau...

Nina safari ya Mwanza kizazi na ndio mara yangu ya kwanza kufika kwenye mji huo...

Ni basi gani ambalo lina huduma nzuri linalofanya safari zake Kati ya Dar na Mwanza..

Shukran za dhati kwa watakaonipa majibu ya swali langu

Mkuu, wakati naenda Mwanza majuzi nilipanda Lucky Star ambao ndio Princes Muro; nilijuta, nilifika magoti yanauma maana siti zimebananishwa mno. Wakati wa kurudi nikashauriwa nipande Dar Lux au Isamilio, baada ya kukosa Dar Lux nikapanda Isamilo Express na nikaridhika.

Nakushauri upande Isamilo Express kwa kuwa siti zina nafasi ya kutosha hata kama una miguu mirefu, pia kuna socket chargers za simu kwenye kila siti na zinafanya kazi.

Vv
 
Kama hupendi ligi panda zuberi(kisesa) ni nzuri ila kama sisi wapenda ligi na kiwahi panda Kisbo.
 
I used to take Green Star bus a luxury bus from Dar es salaam to Mwanza.it is a very luxury bus that you can enjoy your journey. They are bring comfortable to the customers with the good speed control. for sure you will enjoy to travel with Green Star Buses and hope you will find me and appreciate.

Mziwanda...
 
Back
Top Bottom