Basi gani nipande kwenda Mwanza?

Basi gani nipande kwenda Mwanza?

lazima ukae

JF-Expert Member
Joined
May 15, 2013
Posts
791
Reaction score
417
Habari zenu wadau...

Nina safari ya Mwanza kikazi na ndio mara yangu ya kwanza kufika kwenye mji huo...

Ni basi gani ambalo lina huduma nzuri linalofanya safari zake Kati ya Dar na Mwanza..

Shukran za dhati kwa watakaonipa majibu ya swali langu
 
Habari zenu wadau...

Nina safari ya Mwanza kizazi na ndio mara yangu ya kwanza kufika kwenye mji huo...

Ni basi gani ambalo lina huduma nzuri linalofanya safari zake Kati ya Dar na Mwanza..

Shukran za dhati kwa watakaonipa majibu ya swali langu

Panda zuberi mkuu hutojutia au super sami
 
Zuberi mkuu.Tena ukipata Zuberi ya kichina mbona raha?!!
 
Panda Dar Lux au Zuber ile ya 2*2 hutojutia safari yako ya kizazi
 
Habari zenu wadau...

Nina safari ya Mwanza kizazi na ndio mara yangu ya kwanza kufika kwenye mji huo...

Ni basi gani ambalo lina huduma nzuri linalofanya safari zake Kati ya Dar na Mwanza..

Shukran za dhati kwa watakaonipa majibu ya swali langu

Nenda ubungo yapo mengi tuu, utachagua mwenyewe hukohuko kuliko kutujazia thread za kichovu kama hizi
 
Kama ISAMILO wapo panda, they have a good customer care.
 
Habari zenu wadau...

Nina safari ya Mwanza kizazi na ndio mara yangu ya kwanza kufika kwenye mji huo...

Ni basi gani ambalo lina huduma nzuri linalofanya safari zake Kati ya Dar na Mwanza..

Shukran za dhati kwa watakaonipa majibu ya swali langu

Unakwenda mwanza kikazi binafsi au kampuni? Kama ni kampuni waache ubahiri angalia bei za ndege online kama unafanya booking mapema huna haja ya kukimbizana na mabus unakwea pipa tu bei ziko vizuri siku hizi.
 
habari zenu wadau...

Nina safari ya mwanza kizazi na ndio mara yangu ya kwanza kufika kwenye mji huo...

Ni basi gani ambalo lina huduma nzuri linalofanya safari zake kati ya dar na mwanza..

Shukran za dhati kwa watakaonipa majibu ya swali langu

kizazi...
 
Habari zenu wadau...

Nina safari ya Mwanza kizazi na ndio mara yangu ya kwanza kufika kwenye mji huo...

Ni basi gani ambalo lina huduma nzuri linalofanya safari zake Kati ya Dar na Mwanza..

Shukran za dhati kwa watakaonipa majibu ya swali langu
Samwel Sita nimeona ana basi jipya na ana safari ya Mwanza kusaka wadhamini watafute Lb7 wakuombee lift
 
Back
Top Bottom