lazima ukae
JF-Expert Member
- May 15, 2013
- 791
- 417
Habari zenu wadau...
Nina safari ya Mwanza kikazi na ndio mara yangu ya kwanza kufika kwenye mji huo...
Ni basi gani ambalo lina huduma nzuri linalofanya safari zake Kati ya Dar na Mwanza..
Shukran za dhati kwa watakaonipa majibu ya swali langu
Nina safari ya Mwanza kikazi na ndio mara yangu ya kwanza kufika kwenye mji huo...
Ni basi gani ambalo lina huduma nzuri linalofanya safari zake Kati ya Dar na Mwanza..
Shukran za dhati kwa watakaonipa majibu ya swali langu