Bashungwa, nilikwambia - hukunitilia maanani

Bashungwa, nilikwambia - hukunitilia maanani

Ex Spy

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2007
Posts
314
Reaction score
2,657
Kabla ya kufungiwa kwa Kanisa la Gwajima tuliongea; ilipotolewa barua ya kufungiwa nikakutafuta kwa njia nyingine nikakwambia “Serikali ijitenge na hili” - nayo ukanipuuza.

Ilipofika kufungiwa, nikakutafuta na kukushauri maamuzi ya haraka yafanywe na pande mbili ziongee - ukanieleza upande wako.

Mambo yalienda, ikafika wakati karibu na Oktoba 29 nikaona nikutafute tena, nikakukumbusha maana ya “Waziri mwenye Dhamana”. Nikakusisitiza hakikisha haimwagiki damu (sasa hapa utakuwa umeshajua mimi nani).

Maajabu ni kuwa hata ushauri wa mwisho nao ulipuuzwa.

Sasa, angalia kinachokuja mbele yako, naamini utakipenda tu. You will always regret this!
 
Alisema atakayeandamana atakutana na kisiki🐼

 
Kabla ya kufungiwa kwa Kanisa la Gwajima tuliongea; ilipotolewa barua ya kufungiwa nikakutafuta kwa njia nyingine nikakwambia “Serikali ijitenge na hili” - nayo ukanipuuza.

Ilipofika kufungiwa, nikakutafuta na kukushauri maamuzi ya haraka yafanywe na pande mbili ziongee - ukanieleza upande wako.

Mambo yalienda, ikafika wakati karibu na Oktoba 29 nikaona nikutafute tena, nikakukumbusha maana ya “Waziri mwenye Dhamana”. Nikakusisitiza hakikisha haimwagiki damu (sasa hapa utakuwa umeshajua mimi nani).

Maajabu ni kuwa hata ushauri wa mwisho nao ulipuuzwa.

Sasa, angalia kinachokuja mbele yako, naamini utakipenda tu. You will always regret this!
Not only that, nilionya watu kuhusu wizara ya mambo ya ndani. Ni koja ya wizara zinazoua career za watu. Kila anapita pale haji kuwa popular anymore or kuaminika

Bashungwa is the latets victim
 
Alisema atakayeandamana atakutana na kisiki🐼

Kadiri upepo ulivyokuwa unavuma, ndo nyeti zake zilikuwa zinazidi kuwa wazi.

Alijazwa upepo kuwa anaandaliwa for 2030, akajaa kwenye mfumo. Akatumika, akamaliza kuwa tambara.

Next step itamfurahisha na itakuwa funzo kwa wengine
 
Ngoma ishawaka ,hapa wajiandae tu kuusikilizia music.
 
Kadiri upepo ulivyokuwa unavuma, ndo nyeti zake zilikuwa zinazidi kuwa wazi.

Alijazwa upepo kuwa anaandaliwa for 2030, akajaa kwenye mfumo. Akatumika, akamaliza kuwa tambara.

Next step itamfurahisha na itakuwa funzo kwa wengine
Kama hadi wakuu wa vyombo walishwa kuhandle situation huyo Bashungwa ni kumuonea kaka. Ila kama lengo lilikuwa ni kumchafua kwenye ndoto za urais wamefanikiwa na inawezekana aliteuliwa wizara ile kimkakati.
 
Kabla ya kufungiwa kwa Kanisa la Gwajima tuliongea; ilipotolewa barua ya kufungiwa nikakutafuta kwa njia nyingine nikakwambia “Serikali ijitenge na hili” - nayo ukanipuuza.

Ilipofika kufungiwa, nikakutafuta na kukushauri maamuzi ya haraka yafanywe na pande mbili ziongee - ukanieleza upande wako.

Mambo yalienda, ikafika wakati karibu na Oktoba 29 nikaona nikutafute tena, nikakukumbusha maana ya “Waziri mwenye Dhamana”. Nikakusisitiza hakikisha haimwagiki damu (sasa hapa utakuwa umeshajua mimi nani).

Maajabu ni kuwa hata ushauri wa mwisho nao ulipuuzwa.

Sasa, angalia kinachokuja mbele yako, naamini utakipenda tu. You will always regret this!
Mikwala mbuzi
 
Not only that, nilionya watu kuhusu wizara ya mambo ya ndani. Ni koja ya wizara zinazoua career za watu. Kila anapita pale haji kuwa popular anymore or kuaminika

Bashungwa is the latets victim
Kete zinasukumwa kwa akili kubwa sana…huyu master mind apewe heshima yake…yaani watu wanaingizwa kwenye mfumo na wanajaa mazima…Aisee hapa Mwaamuzi ni Mungu tuu..Hamna namna
 
Back
Top Bottom