baro
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 3,328
- 4,516
TEC walikuwa na malengo naye ila kazi aliyotumwa hakuifanya akaponzwa na NGOSWE PENZI KITOVU CHA UZEMBE , wakaachana nayeIt’s too late. Arrogance of power inawasumbua hawa
TEC walikuwa na malengo naye ila kazi aliyotumwa hakuifanya akaponzwa na NGOSWE PENZI KITOVU CHA UZEMBE , wakaachana nayeIt’s too late. Arrogance of power inawasumbua hawa
Ndo maana juzi kati nlikoment mahali baada ya Gwajima kusifiwa eti ni waziri bora kuliko wote,nkawaambia apelekwe wizara ya mambo ya ndani ndipo tuanze kumpima uzuri wake..Not only that, nilionya watu kuhusu wizara ya mambo ya ndani. Ni koja ya wizara zinazoua career za watu. Kila anapita pale haji kuwa popular anymore or kuaminika
Bashungwa is the latets victim
Hamna mtu pale. Anaweza kupiga picha na mumewe na kuposti tu pia kukoromea wamama na mahausigeli tu wanaonyanyasa watoto, ila issue serious zote zinazogusa wizara yake anakimbiaga na kufunika kichwa ardhini. Anasingizia ni za wizara nyingineNdo maana juzi kati nlikoment mahali baada ya Gwajima kusifiwa eti ni waziri bora kuliko wote,nkawaambia apelekwe wizara ya mambo ya ndani ndipo tuanze kumpima uzuri wake..