Bashiru Ally apewe ulinzi mkali dhidi ya Mabeberu


Hawakuungwa mkono wazi wazi kina Ndugai. Hakuungwa mkono Pole pole. Hakuungwa mkono waziwazi Mwingira. Hajaungwa mkono waziwazi Bashiru.

Tuko kama tumelogwa.
 
Ulinzi wa nini? auwawe kaua watanzania wengi kwa tamaa zake hafai
Ndugu Benjamin, una poor reasoning.

Nakushauri Rudi shule uongeze maarifa.

Suala la BASHIRU Lina sura mbili,

1. Ni Bashiru mnafiki, aliyebaka DEMOKRASIA Kwa kushirikiana na Magu kuitekeleza Ujamaa uchwara.

2. Sura ya pili, ni Bashiru aliye upande wa wananchi Kwa HOJA aliyoitoa kuwahamasisha Wanachama ndani ya chama Chao na wakulima kuendeleza utamaduni alouasisi Mwl Nyerere ya Kuhoji.

Kwa majibu Yako ndugu benja, umeamua kuwa upande wa Musukuma, na Kibajaji, na kutokuwa upande alosimamia Mzee WARIOBA na Mzee Butiku.

Nimemsikia Lema, Lisu na Heche, wote wametoa maoni kwa kuangalia pande mbili.

Wote wamekemea TABIA ya wananchi na Wanachama kuwa na UCHAWA ambao umeota mizizi ktk Nchi.

Kwa maana ingine, Bashiru tunamwacha na ULEVI wake Kwa upande mmoja, lakini tunachukua HOJA yake Kwa upande mwingine Kwa maslah mapana ya nchi.

Kama hujanielewa Kwa ufafanuzi huo, hutakuja kuelewa KAMWE.
 
Bashiru hata kama wasipompa ulinzi tutamlinda sisi wananchi wazalendo.wananch wengi wamemkubali mzalendo bashiru.wakijifanya hao ccm kumsumbua rais ajae bashiru wananchi tutachukua hatua
 
Ule mzee ni mnafiki na muuaji tupu anatakiwa afe hana nia nzuri na wananchi
 
tatizo lako umezidisha ushabiki mpaka tunakuona zuzu tu
 
Apewe na Nani? Kwa Nini usiende kumlinda wewe?
 
Atumie dola kubakia alipo baada ya kuwashiwa taa nyekundu
 
Bashiru ameokoka lini?
 
Bashiru amerusha jiwe kwenye mzinga wa nyuki na sasa nyuki wa mama wanarusha mishale hovyo-hovyo.
Uaneni.
 
tatizo lako umezidisha ushabiki mpaka tunakuona zuzu tu
Mbona mim nimeongea vizuri tuu jamani kosa langu ni lipi? Ni Kosa langu ni kunukuu maneno ya Polepole kuwa CCM ni genge la wahuni kama wew wanao penda siasa za umalaya Malaya au ni kunukuu kauli thabiti ya Dr. Wa ukweli Bashiru Ally kuwa CCM wache kuwafanya watu kuwa mazuzu?
 
Bashiru asali imepungua analilia asali yake. Sisiemu ni lichama la walafi hakuna mwenye nia safi na watanzania. Wanatucheza shere kama watoto wadogo kwa danganya toto huku wao wakivuna vya kuvuna. Hawana na hawajawahi kuwa na dhati ya kuleta mageuzi nchini. Miaka kadari matatizo yaleyale awamu zote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…