Bashiru Ally apewe ulinzi mkali dhidi ya Mabeberu

Bashiru Ally apewe ulinzi mkali dhidi ya Mabeberu

Lituye

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
1,864
Reaction score
5,697
Baada ya kauli ya kizalendo yenye Nia njema iliyotolewa na mwanazuoni Kijana mzalendo ambae taifa hili limetumia pesa nyingi kumsomesha Bashiru Ally Kuna magenge mbali mbali ya wahuni kama alivyo tuambia kijana wetu mpendwa Balozi Polepole yameanza kuweweseka.

Mabeberu haya yanayo ikalia nchi kinyume na KATIBA na kikatili yakiuwa watu na kuwafungulia kesi za urongo wapinzani yamekereka sana kuona Bashiru anawapa elimu watu waliodanganywa kuwa wao ni wanyonge.

Kijana wetu Bashiru tulie msomesha wenyewe kwa Kodi zetu ametwambia tuache Uzuzu wa kushukuru serikali kwanza serikali yenyewe haipo kisheria ni batili iliyo kwapua kura ktk mabegi halafu inajiita ni serikali ya watu.

Pili serikali ikitoa huduma ni wajibu wake kwa kuwa pesa ni zetu wananchi tunao lipa Kodi na kuwalipa mishahara viongozi wanao tembelea magari ya kifahari huku sisi tukiokolewa na mitumbwi ktk ajali za ndege.

Huwezi kumkosoa Bashiru Ally kwa kuwa tuu anaongea ukweli ila hata yeye awali alishiriki ubatili huo ni Uzuzu. Ukiwa na Akili timamu Unapaswa kwanza kumpongeza Bashiru kwa kauli thabiti halafu ndo umwambie kuwa ulichelewa kuyaamini haya maneno yako ila. Hakuna mwenye hati miliki ya kuongea ukweli.

Bashiru shikilia hapo hapo hiyo michawa miiamba mapambio inayotegemea kula bila kufanya kazi halali iache iendelee kupiga kelele Nyerere aliwaita ni wanasiasa Malaya mayalaya.
Maendeleo hayana Vyamaa.
 
Huyu aliyesaidiana na mwendazake kuua watanzania na kuwaweka kwenye viroba ndiye awekewe ulinzi?
Atatusaidia kujua mengi akipewa ulinzi faida zake ni pamoja na Jamuhuri kutopoteza ushahidi muhimu, si uliona ktk kesi Ile ya michongo ya ugaidi hewa shahidi namba moja wa Jamuhuri kila akiulizwa swali muhimu anasema hajui.
 
Wanapokuwa kwenye shibe akili huwa likizoni, ujifanya wazalendo mfumo ukiwatupa. Arudi shule akafundishe hana nafasi yeyeto ya kuweza kupenya kwenye mfumo wa sasa.
 
Walau Bashiru amejitoa Muhanga kumfunga paka kengele!

Amethubutu kusema mbele ya Mfalme!

Amethubutu kuongea lugha ya wapinzani huku akiwa ndani ya CCM!

Amethubutu kuwaamsha wakulima ambao ndio kundi kubwa ambalo ndio nguzo ya kura za ushindi wa CCM!

#BashiruSioNdugai
 
Baada ya kauli ya kizalendo yenye Nia njema iliyotolewa na mwanazuoni Kijana mzalendo ambae taifa hili limetumia pesa nyingi kumsomesha Bashiru Ally Kuna magenge mbali mbali ya wahuni kama alivyo tuambia kijana wetu mpendwa Balozi Polepole yameanza kuweweseka.

Mabeberu haya yanayo ikalia nchi kinyume na KATIBA na kikatili yakiuwa watu na kuwafungulia kesi za urongo wapinzani yamekereka sana kuona Bashiru anawapa elimu watu waliodanganywa kuwa wao ni wanyonge.

Kijana wetu Bashiru tulie msomesha wenyewe kwa Kodi zetu ametwambia tuache Uzuzu wa kushukuru serikali kwanza serikali yenyewe haipo kisheria ni batili iliyo kwapua kura ktk mabegi halafu inajiita ni serikali ya watu. Pili serikali ikitoa huduma ni wajibu wake kwa kuwa pesa ni zetu wananchi tunao lipa Kodi na kuwalipa mishahara viongozi wanao tembelea magari ya kifahari huku sisi tukiokolewa na mitumbwi ktk ajali za ndege.

Huwezi kumkosoa Bashiru Ally kwa kuwa tuu anaongea ukweli ila hata yeye awali alishiriki ubatili huo ni Uzuzu. Ukiwa na Akili timamu Unapaswa kwanza kumpongeza Bashiru kwa kauli thabiti halafu ndo umwambie kuwa ulichelewa kuyaamini haya maneno yako ila. Hakuna mwenye hati miliki ya kuongea ukweli.

Bashiru shikilia hapo hapo hiyo michawa miiamba mapambio inayotegemea kula bila kufanya kazi halali iache iendelee kupiga kelele Nyerere aliwaita ni wanasiasa Malaya mayalaya.
Maendeleo hayana Vyamaa.
Mwenyewe beberu
 
Mbona wapinzani hawakupewa huo ulinzi mkali mpaka wengine wakamiminiwa mirisasi? Mwache tu adunde kama wanasiasa wengine.
 
Back
Top Bottom