Yes,we will stay tuned.Ila dah,Bashiru kuwa Katibu mkuu wa CCM si sahihi kwake.It's appropriate for him to stick to his profession,kwanza inampa heshima zaidi na ni dependable.With politics anything is possible and simply not dependable. Ila sasa shida ni kwamba hawezi kama kweli atateuliwa kumkatalia Rais.Kwa Bashiru ni dilemma frankly.