Bashiru Ali kama Wilson Mukama

Kwa hiyo mkuu unanishauri nikae mbali na huyo Prof. vinginevyo nitasota sana. Kwani huyu amesotea hiyo PhD (Permanent Head Damage) kwa miaka mingapi?
Kwani Prof Rwekaza bado yupo UDSM?What I know amshastaafu.Au labda anakusimamia kwakua alishapangiwa akusimamie.
Huyu bwana sidhani kama alisimamiwa na Prof Rwekaza.
 
Tulifanya interview 5 bora usm hajaingia ata mmoja, 3 udom, 1 sua na mwingine tumain. Udsm namba saba walitakiwa mtu 5 tuu. Hawana kitu.
Mkuu andika kwa utulivu.
 
Reactions: SDG
hivi Bashiru ni PhD holder au? maana kuna wanahabari wakifanya mahojiano nae wanamtambulisha kama dokta Bashiru wengine hawamuiti dokta
Kumuita sio lazima japokuwa kwetu huku kuna wengine wanaona kama wamenyanyapaliwa
 
Hata yule bwana asiyejua cha kuongea na ni PHD holder angefaa, Benson banana wanamwita
 
Njaa kama ya Mwesiga Baregu?

Prof. Mwesiga Baregu angekuwa na njaa angenyenyekea kipindi kile walipokataa kumpa mkataba baada ya kustaafu. Ajabu ni kuwa baada tu ya kumnyima mkataba vyuo vyenye akili vikamdaka.
 
Namusubiri kwa hamu aanze kazi nione atakavyoegemea upande mmoja maana kwenye mahojiano yote uwa anajifanya kubalance kati ya upinzani na chama tawala.

Ila ukimuuliza kuhusu: Marekani vs Alqaed au Israel vs Palestina basi hapepesi macho hata kidogo, misimamo yake ni bayana
 
Baija Bolobi
Baij'abolobi, Baija bolobile
Bashiru
Nyie wote mnatoka Bukoba, na pia mnajuana.
Haya gatueh!
 

Yaani hii professorization of the government and ruling party, haitawaacha salama maprofesa. Hawajawahi kuwa watendaji wazuri serikalini. Atawatumia na baadaye atawatukana na kuwatumbua hadharani.
 
Mtu hata uwe na akili nyingi.kiasi gani ukiingia huko zinapukutika unabaki na kiduchu tu za kuitikia ndiyo mzee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…