Bashe: Tusiingize siasa kwenye Kilimo tuache soko liamue, tusirudie makosa ya 2017 na 2018!

Bashe nilidhani ana maarifa kumbe ni empty shell!
Hakuna Mkulima wa Tanzania anayeuza mahindi nje ya Nchi muda huu! Hao ni wachuuzi walio hold mahindi ndo wanauza sasa!
Mtu mwenye akili angezuia mahindi kutoka nje na kuwataka hao wachuuzi wauze Soko la ndani ili ku saturate Soko la ndani ili kushusha bei ya mahindi!
Wakulima wengi sasa wananjaa ya kufa mtu na wananunua mahindi amboni (kilo 4) kwa tshs.elfu sita( 6,000). Bashe ni smart mbele ya mazuzu!

Hoja yake ni tuache soko liamue bei mkuu. Mimi naona ni jambo zuri, sio Yale mambo ya mtu mmoja kusimama nakusema maindi yatanunuliwa Kwa tsh 200 Kwa debe, then hoja ya mazao kutoka nje ya nchi ni hoja nyingine.
 
Bashe nilidhani ana maarifa kumbe ni empty shell!
Hakuna Mkulima wa Tanzania anayeuza mahindi nje ya Nchi muda huu! Hao ni wachuuzi walio hold mahindi ndo wanauza sasa!
Mtu mwenye akili angezuia mahindi kutoka nje na kuwataka hao wachuuzi wauze Soko la ndani ili ku saturate Soko la ndani ili kushusha bei ya mahindi!
Wakulima wengi sasa wananjaa ya kufa mtu na wananunua mahindi amboni (kilo 4) kwa tshs.elfu sita( 6,000). Bashe ni smart mbele ya mazuzu!
Wewe ndio inabidi uangalie ulicho andika, toka lini mkulima akauza yeye mwenyewe labda awe na uwezo huo, biashara ni mnyororo kuna watu wengi kati lakini kuna kitu kimoja hapa haiwezekani bei ikawa kubwa kwa mtu wa mwisho halafu mkulima akauza bei ileile ya chini hakuna kila demand ikizidi na huku chini bei inazidi usidhani kama wakulima wajinga kiasi hicho ni kama nyanya sokoni ikipanda basi lazima ujuwe hata huko inakotoka inapanda kidogo. Biashara inapita kwenye mikono mingi sasa wewe umekaa mjini mtu akuletee bidhaa halafu utegemee ununue bei ya shambani? % inapanda sawasawa toka chini mpaka juu. Bashe yuko 100% sawa dawa ni kuzidisha uzalishaji sio kupanga bei. Bei zikiwa zinavutia uwekezaji utakuja ni demand and supply hakuna mbadala wa formula hii.
 
Bashe ni kilaza haijui sekta ya Kilimo ya nchi hii na ameshindwa kufahamu na hataweza kujua jinsi wakulima wanavyonyonywa na Wafanyabiashara uchwara.
Na kiingereza chake Broken (it is very danger 🤣🤣)
Miaka 60 hiyo system yako unayoipigia kelele imemsaidia nini mkulima? kwa hiyo tuendelee hivyo hivyo halafu utegemee matokeo tofauti au? njoo na option tofauti lakini usije na hoja za zamani zilizoshindwa. Sasa mkulima ulitaka akauze mwenyewe Dar au? mkulima ana anazalisha, anauza anayenunua anauza naye anauza mpaka inamfikia mlaji ndio biashara. Hata Azam anazalisha, anauza kwa jumla naye anauza kwa reja reja kuna watu katikati ni system hiyo. sasa wewe ukisema mahindi kwa mkulima rahisi nenda kijijini utakutana na bei watu sio wajinga.
 
Mzee Mgaya haulali au unasubiri kiporo Cha Mihogo?!
Huyu waziri si mwelewi hata kidogo!!Bei lazime iwe regulated .why bia zina ukomo wa bei? Why Serikali Ina weka ukomo wa gharama ya matibabu? Mawaziri vweingine mzigo kwa kweli
 
Wewe akili ndiye huna

Bei ya mkulima anapata sasa hivi nzuri mno

Wanunuzi wapeleka nje wananunua law bei nzuri mno
Kila.za wewe hujui chochote! Hakuna Mkulima mwenye mahindi muda huu.
Wakulima wote wanaombea mvua inyeshe walime.Wakiivisha kwa pamoja wachuuzi watashusha bei na kuyarangua yote na kuweka stoo wakisubiri tena bei ipande!
Wewe rudi kwenye betting na ushabiki wa mpira wa Simba na Yanga kwa hayo ndo kichwa chako kina uwezo nayo pamoja na kufugia nywele!
 
Kila.za wewe hujui chochote! Hakuna Mkulima mwenye mahindi muda huu.
Wakulima wote wanaombea mvua inyeshe walime.Wakiivisha kwa pamoja wachuuzi watashusha bei na kuyarangua yote na kuweka stoo wakisubiri tena bei ipande!
Wewe rudi kwenye betting na ushabiki wa mpira wa Simba na Yanga kwa hayo ndo kichwa chako kina uwezo nayo pamoja na kufugia nywele!
Uongo

Ruvuma yako kibao
 
Uongo

Ruvuma yako kibao
Yapo kibao sawa, ni ya Mkulima au Mchuuzi?!
Acha kukariri mambo na habari za kuambiwa! Watu wana hali mbaya sana ya Chakula including wakulima wenyewe!
Huu ni muda wa Wakulima kuuziwa mahindi yao waliyowauzia wachuuzi wenye mitaji kwa bei chee!
Halafu tambua kuwa Ruvuma kuwa na mahindi haiwezi ku- generalize Tanzania nzima!
Nyie ni watoto wajinga wajinga wa " vyepe mayai"!
 
Bashe nilidhani ana maarifa kumbe ni empty shell!
Hakuna Mkulima wa Tanzania anayeuza mahindi nje ya Nchi muda huu! Hao ni wachuuzi walio hold mahindi ndo wanauza sasa!
Mtu mwenye akili angezuia mahindi kutoka nje na kuwataka hao wachuuzi wauze Soko la ndani ili ku saturate Soko la ndani ili kushusha bei ya mahindi!
Wakulima wengi sasa wananjaa ya kufa mtu na wananunua mahindi amboni (kilo 4) kwa tshs.elfu sita( 6,000). Bashe ni smart mbele ya mazuzu!
Hivi watz mbona tunakuwa wapumbavu na kupenda kuishi kwa kutumia jasho la watu wengine?
Aliye kwambia kuwa ili mkulima anufaike ni lazima apeleke yeye mwenyewe nje ya nchi ni nani?

Jinsi mfanya biashara anavyo uza bei kubwa kwenye soko ndivyo bei kwa mkulika inavyo panda.

Mfano sasa hivi huku shinyanga bei ya gunia la mpunga ni 225,000 wakati mwaka jana ilikuwa 40,000 kutokana na kwenye soko la mchele kipindi hicho lilikuwa chini sana.

Eti hakuna mkulima mwenye stoko ya mazao hivi unadhani wakulima wa sasa ni wale wa miaka 50 iliyo pita?
Nenda sasa hivi kijijini na milioni 500 kwenda kununua mahindi na uwape wakulima bei wanayo taka tuone kama hiyo hela utarudi nayo mjini.

Hata kama ni wachuuzi ndio wenye mastoko ya mahindi acha wanufaike na biashara yao, kama unaona wanafaidi na ww jiingize kwenye huo uchuuzi upate hizo hela unazo ona wanafaidi na ww ufaidi na sio kuwa na wivu wa kichawi.

Si jukumu la mkulima kushibisha familia yako maana hata ww huna msaada wowote kwa huyo mkulima, ukiona bei ya mahindi umekuwa kubwa tafuta kazi ya ziada itakayo kuingizia pesa ili uweze kumudu bei ili uilishe familia yako kama hutaki acha ili ufe njaa na watoto wako.
 
Wewe akili ndiye huna

Bei ya mkulima anapata sasa hivi nzuri mno

Wanunuzi wapeleka nje wananunua law bei nzuri mno
Acha uzwazwa wewe, unawajua wakulima wa tz kweli? Au unazani kila mtu analima kama sumry? Kwa taarifa yako wakulima wengi wanalima kwa madeni kwahiyo akivuna tu mzigo unauzwa palepale hakuna mkulima mwenye mahindi au mchele hadi leo msimu mpya wa kilimo unapoanza, wenye mzigo sasahivi ni wafanyabiashara walionunua kwa mkulima
 
Kila.za wewe hujui chochote! Hakuna Mkulima mwenye mahindi muda huu.
Wakulima wote wanaombea mvua inyeshe walime.Wakiivisha kwa pamoja wachuuzi watashusha bei na kuyarangua yote na kuweka stoo wakisubiri tena bei ipande!
Wewe rudi kwenye betting na ushabiki wa mpira wa Simba na Yanga kwa hayo ndo kichwa chako kina uwezo nayo pamoja na kufugia nywele!
Hivi unadhani wakulima wa miaka 50 iliyo pita ni sawa na wa sasa hivi?

Hata kama ni wachuuzi ndio wenye mhindi acha wafahidi biashara yao na ww kama pvipi anza huo uchuuzi ili ufaidi.

Watz tuna watatizo makubwa sana.
 
Wewe ndio inabidi uangalie ulicho andika, toka lini mkulima akauza yeye mwenyewe labda awe na uwezo huo, biashara ni mnyororo kuna watu wengi kati lakini kuna kitu kimoja hapa haiwezekani bei ikawa kubwa kwa mtu wa mwisho halafu mkulima akauza bei ileile ya chini hakuna kila demand ikizidi na huku chini bei inazidi usidhani kama wakulima wajinga kiasi hicho ni kama nyanya sokoni ikipanda basi lazima ujuwe hata huko inakotoka inapanda kidogo. Biashara inapita kwenye mikono mingi sasa wewe umekaa mjini mtu akuletee bidhaa halafu utegemee ununue bei ya shambani? % inapanda sawasawa toka chini mpaka juu. Bashe yuko 100% sawa dawa ni kuzidisha uzalishaji sio kupanga bei. Bei zikiwa zinavutia uwekezaji utakuja ni demand and supply hakuna mbadala wa formula hii.
Ningekujibu ila naona napoteza muda wangu kwani wajinga mmezidi hapa Tanzania!
Endeleeni na Waziri wenu huyo wa " It is very danger......!"
 
Miaka 60 hiyo system yako unayoipigia kelele imemsaidia nini mkulima? kwa hiyo tuendelee hivyo hivyo halafu utegemee matokeo tofauti au? njoo na option tofauti lakini usije na hoja za zamani zilizoshindwa. Sasa mkulima ulitaka akauze mwenyewe Dar au? mkulima ana anazalisha, anauza anayenunua anauza naye anauza mpaka inamfikia mlaji ndio biashara. Hata Azam anazalisha, anauza kwa jumla naye anauza kwa reja reja kuna watu katikati ni system hiyo. sasa wewe ukisema mahindi kwa mkulima rahisi nenda kijijini utakutana na bei watu sio wajinga.
Unaongeo nini Mkuu,mimi ata sijakuelewa.Unamsifia Waziri bogus na mjuaji.Wakulima wa miaka wa miaka ya 60 ndiyo walioiinua Uchumi wa nchi kupitia vyama vyao vya ushirika na walikuwa na uwezo wa kusomesha watoto wao kwasababu hawakunyonywa kizembe kama anavyofanya uyo Kilaza wako.Aache propaganda asimamie maslahi ya wakulima kwa kuimarisha vyama vya ushirika,ahakikishe Kilimo kinakuwa na tija, ahakikishe wakulima wanapata mafunzo ya kisasa ya Kilimo,akutane na wakulima kusikiliza kero zao nk.Siyo kutuongelea Broken English na kuuza hazina ya chakula ovyo!
 
Acha uzwazwa wewe, unawajua wakulima wa tz kweli? Au unazani kila mtu analima kama sumry? Kwa taarifa yako wakulima wengi wanalima kwa madeni kwahiyo akivuna tu mzigo unauzwa palepale hakuna mkulima mwenye mahindi au mchele hadi leo msimu mpya wa kilimo unapoanza, wenye mzigo sasahivi ni wafanyabiashara walionunua kwa mkulima
Kwa hiyo kama ni wafanya biashara ndio hawatakiwi kupata faida kutokana na biashara yao?
Ww kama unaona biashara ya uchuuzi una faida kiasi hicho kwann na ww usichangamkie furusa hiyo badala ya kukaa una lalamika.
 
Bashe nilidhani ana maarifa kumbe ni empty shell!
Hakuna Mkulima wa Tanzania anayeuza mahindi nje ya Nchi muda huu! Hao ni wachuuzi walio hold mahindi ndo wanauza sasa!
Mtu mwenye akili angezuia mahindi kutoka nje na kuwataka hao wachuuzi wauze Soko la ndani ili ku saturate Soko la ndani ili kushusha bei ya mahindi!
Wakulima wengi sasa wananjaa ya kufa mtu na wananunua mahindi amboni (kilo 4) kwa tshs.elfu sita( 6,000). Bashe ni smart mbele ya mazuzu!
Shida ni kwamba mtu akipata madaraka anapata feeling kwamba yupo smart kumbe hakuna kitu...tatizo la Bashe hasikilizi lakini ndio uwezo wake.....
 
Unaongeo nini Mkuu,mimi ata sijakuelewa.Unamsifia Waziri bogus na mjuaji.Wakulima wa miaka wa miaka ya 60 ndiyo walioiinua Uchumi wa nchi kupitia vyama vyao vya ushirika na walikuwa na uwezo wa kusomesha watoto wao kwasababu hawakunyonywa kizembe kama anavyofanya uyo Kilaza wako.Aache propaganda asimamie maslahi ya wakulima kwa kuimarisha vyama vya ushirika,ahakikishe Kilimo kinakuwa na tija, ahakikishe wakulima wanapata mafunzo ya kisasa ya Kilimo,akutane na wakulima kusikiliza kero zao nk.Siyo kutuongelea Broken English na kuuza hazina ya chakula ovyo!
Vyama vya ushirika? kweli wewe unaishi miaka ya 80 huko. Ndio wapigaji wakubwa huko uchukuwe mali ya mtu kwa mkopo
 
Back
Top Bottom