Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, amesema Rais Samia anatarajiwa kuzindua rasmi Benki ya Ushirika Tanzania tarehe 28 Aprili 2025.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akizungumza leo bungeni jijini Dodoma, Bashe amesema benki hiyo itaanza kwa mtaji wa Shilingi bilioni 55 na itakuwa na matawi manne katika maeneo ya Kilimanjaro, Mtwara, Tabora na makao makuu yake yatakuwa Dodoma.
"Benki hii ni kwa ajili ya wakulima kupitia vyama vya ushirika na itatoa huduma za kifedha kwa lengo la kuimarisha sekta ya kilimo nchini," amesema Bashe.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Akizungumza leo bungeni jijini Dodoma, Bashe amesema benki hiyo itaanza kwa mtaji wa Shilingi bilioni 55 na itakuwa na matawi manne katika maeneo ya Kilimanjaro, Mtwara, Tabora na makao makuu yake yatakuwa Dodoma.
"Benki hii ni kwa ajili ya wakulima kupitia vyama vya ushirika na itatoa huduma za kifedha kwa lengo la kuimarisha sekta ya kilimo nchini," amesema Bashe.