Bashe na utapeli wa kisiasa

Bashe na utapeli wa kisiasa

Msonga Reli

Member
Joined
Jun 15, 2014
Posts
78
Reaction score
6
Wana Jamii,
Mwaka jana tarehe 30 mwezi Agosti, kama mtakumbuka vizuri, vijana wanne waliojiita ‘Friends of Membe’ wasomali wawili na wabantu wawili wakiongozwa na jamaa mmoja bonge hivi aliyejulikana kwajina la Allan, walitumwa na Bashe Hussein Bashe, Yule Msomali ambaye ni hasimu wake mkubwa na Dr Kigwangallah, a.k.a Saidi Bagaile mbunge mteule wa Jimbo la Nzega mkoani Tabora kwenda nyumbani kwa baba mzazi Dr Kigwangallah kule Pugu baada yakupata taarifa kuwa alikuwa akiumwa.
Madhumuni makubwa ya msafara huo mzito yalikuwa ni: (1) kumjulia hali (2) kuonani namna gani wataweza kumsaidia gharama zamatibabu baada ya kuambiwa kuwamtoto wake kamtelekeza.
Naam, vijana hao walipofika walimkuta mzee kweli anaumwa. Walionesha utu kwa kumuahidi yafuatayo: kumtibia nje ya nchi hasa India mara moja, kuweka umeme nyumba yake na kuikarabati, kuchimba kisima na hatimaye kumsaidia gharama za chakula.
Walisema watamobilize funds kutoka kwa mhishimiwa Membe na wengine ili kutimiza lengo hilo.
Walichukua baadhi ya documents na kuondoka. Kesho yake yaani tarehe 31 Agosti, 2013 jamaa wawili, akiwemo msichana, walifika na kupiga picha za video.
Ili kujua hasa ni kwa kiasi gani Bashe na wenzake wametekeleza ahadi zao, juzi nilifunga safari hadi Pugu.
Nilimkuta mzee Kigwangallah akiwa amelala, yuko hoi kweli anaumwa, si mchezo. Maradhi yamemshika barabara na anahitaji msaada wa haraka ili kuokoa maisha yake.
Kumbe ahadi za Bashe na kundi lake la kitapeli ilikuwa ni fix. Hakuna chochote walichoahidi kimetekelezwa hadi sasa kimefanyika. Huu ndio utapeli wa Bashe na jamaa zake hao.
Walitaka kugain political mileage out of the suffering of Mzee wa watu! Nasikia documents walizo chukua walizitumia kuomba msaada kwa watu lakini mlengwa hakupata kitu na anaendelea kuteseka na ugonjwa wake.
Hivi sasa hata akipigiwahapokei simu na alipotembelewa ofisini kwake Sinza, yasemekana alikataa hata kumwona mzee Kigwangallah na ujumbe wake. Hii ndio tabia ya Bashe, msomali mhaini kweli.
Kwa upande wa Dr Kigwangalla, yeye kaonesha dhahiri ushenzi wake. Hamjali kabisa baba yake mzazi. Hatoi huduma yoyote toka aukwae ubunge mwaka 2010, ila kidogo sana amekuwa kama karogwa vile.Baba yake anaumwa hataki kumtibia na pesa anazo. Yuko busy na mambo yake; hana shida na baba yake wala nduguze.
Wana jamii, msaadawenu unahitajika haraka. Msaidieni mzee wetu moja kwa moja kupitia namba zake za simi zifuatazo: M-Pesa 0754 042 105 au Airtel Money 0784 630 195.
Nawasilisha
 
Mimi ni mtu wa kwanza kuanza kumsaidia kwa kweli tuoneshe uungwana jamaa zangu. Dr hana habari na baba yake, sababu anazijua mwenyewe. Ubunge umemzuzua. Toka mwaka 2010 yeye na mkewe hawajaenda kumjulia hali mzazi wao. Hao ni watu wa nanmna gani? Na waliomteua kuwa mbunge hawalioni hilo. kuwa mtu huyu ni kilaza, mshenzi wa amali.
 
Kama kuna ukweli kwenye haya.......it's just matter of time......laana haikwepeki.....:suspicious:
 
Ni bahati mbaya sana Tanzania inakaribisha wageni hadi chumbani mtu kama Bashe hastahili hata ubalozi wa nyumba kumi huyu ni mgeni siku Somalia ikitulia atarejea nyumbani kwao yeye Rage na Kinana.
 
Ni bahati mbaya sana Tanzania inakaribisha wageni hadi chumbani mtu kama Bashe hastahili hata ubalozi wa nyumba kumi huyu ni mgeni siku Somalia ikitulia atarejea nyumbani kwao yeye Rage na Kinana.

watoto wa nje ndoa bhna,ulikosa cha kuandka?Bora tena ya bashe,we tukikufuatilia uraia wako yawezekena hata hupaswi hata kuish hapo ulipo
 
Wana Jamii,
Mwaka jana tarehe 30 mwezi Agosti, kama mtakumbuka vizuri, vijana wanne waliojiita ‘Friends of Membe’ wasomali wawili na wabantu wawili wakiongozwa na jamaa mmoja bonge hivi aliyejulikana kwajina la Allan, walitumwa na Bashe Hussein Bashe, Yule Msomali ambaye ni hasimu wake mkubwa na Dr Kigwangallah, a.k.a Saidi Bagaile mbunge mteule wa Jimbo la Nzega mkoani Tabora kwenda nyumbani kwa baba mzazi Dr Kigwangallah kule Pugu baada yakupata taarifa kuwa alikuwa akiumwa.
Madhumuni makubwa ya msafara huo mzito yalikuwa ni: (1) kumjulia hali (2) kuonani namna gani wataweza kumsaidia gharama zamatibabu baada ya kuambiwa kuwamtoto wake kamtelekeza.
Naam, vijana hao walipofika walimkuta mzee kweli anaumwa. Walionesha utu kwa kumuahidi yafuatayo: kumtibia nje ya nchi hasa India mara moja, kuweka umeme nyumba yake na kuikarabati, kuchimba kisima na hatimaye kumsaidia gharama za chakula.
Walisema watamobilize funds kutoka kwa mhishimiwa Membe na wengine ili kutimiza lengo hilo.
Walichukua baadhi ya documents na kuondoka. Kesho yake yaani tarehe 31 Agosti, 2013 jamaa wawili, akiwemo msichana, walifika na kupiga picha za video.
Ili kujua hasa ni kwa kiasi gani Bashe na wenzake wametekeleza ahadi zao, juzi nilifunga safari hadi Pugu.
Nilimkuta mzee Kigwangallah akiwa amelala, yuko hoi kweli anaumwa, si mchezo. Maradhi yamemshika barabara na anahitaji msaada wa haraka ili kuokoa maisha yake.
Kumbe ahadi za Bashe na kundi lake la kitapeli ilikuwa ni fix. Hakuna chochote walichoahidi kimetekelezwa hadi sasa kimefanyika. Huu ndio utapeli wa Bashe na jamaa zake hao.
Walitaka kugain political mileage out of the suffering of Mzee wa watu! Nasikia documents walizo chukua walizitumia kuomba msaada kwa watu lakini mlengwa hakupata kitu na anaendelea kuteseka na ugonjwa wake.
Hivi sasa hata akipigiwahapokei simu na alipotembelewa ofisini kwake Sinza, yasemekana alikataa hata kumwona mzee Kigwangallah na ujumbe wake. Hii ndio tabia ya Bashe, msomali mhaini kweli.
Kwa upande wa Dr Kigwangalla, yeye kaonesha dhahiri ushenzi wake. Hamjali kabisa baba yake mzazi. Hatoi huduma yoyote toka aukwae ubunge mwaka 2010, ila kidogo sana amekuwa kama karogwa vile.Baba yake anaumwa hataki kumtibia na pesa anazo. Yuko busy na mambo yake; hana shida na baba yake wala nduguze.
Wana jamii, msaadawenu unahitajika haraka. Msaidieni mzee wetu moja kwa moja kupitia namba zake za simi zifuatazo: M-Pesa 0754 042 105 au Airtel Money 0784 630 195.
Nawasilisha

Nawewe tutaamini vipi kuwa ni hao hao?



Join Date : 15th June 2014
Posts : 1
Rep Power : 0
Likes Received0
Likes Given0
 
kwahio msomali kajiongeza duh!

tutasikia mengi msimu huu.
 
Mtoa taarifa ni mpotoshaji mpaka leo hii Bashe anampatia sh laki moja kila mwezi huyo mzee kwa ajili mahitaji yake, tuacheni siasa za kushabiki mwenye laana ni huyo mbunge aliyelewa misifa ya kijinga na kutelekeza mzazi wake
 
Wana Jamii,
Mwaka jana tarehe 30 mwezi Agosti, kama mtakumbuka vizuri, vijana wanne waliojiita ‘Friends of Membe’ wasomali wawili na wabantu wawili wakiongozwa na jamaa mmoja bonge hivi aliyejulikana kwajina la Allan, walitumwa na Bashe Hussein Bashe, Yule Msomali ambaye ni hasimu wake mkubwa na Dr Kigwangallah, a.k.a Saidi Bagaile mbunge mteule wa Jimbo la Nzega mkoani Tabora kwenda nyumbani kwa baba mzazi Dr Kigwangallah kule Pugu baada yakupata taarifa kuwa alikuwa akiumwa.
Madhumuni makubwa ya msafara huo mzito yalikuwa ni: (1) kumjulia hali (2) kuonani namna gani wataweza kumsaidia gharama zamatibabu baada ya kuambiwa kuwamtoto wake kamtelekeza.
Naam, vijana hao walipofika walimkuta mzee kweli anaumwa. Walionesha utu kwa kumuahidi yafuatayo: kumtibia nje ya nchi hasa India mara moja, kuweka umeme nyumba yake na kuikarabati, kuchimba kisima na hatimaye kumsaidia gharama za chakula.
Walisema watamobilize funds kutoka kwa mhishimiwa Membe na wengine ili kutimiza lengo hilo.
Walichukua baadhi ya documents na kuondoka. Kesho yake yaani tarehe 31 Agosti, 2013 jamaa wawili, akiwemo msichana, walifika na kupiga picha za video.
Ili kujua hasa ni kwa kiasi gani Bashe na wenzake wametekeleza ahadi zao, juzi nilifunga safari hadi Pugu.
Nilimkuta mzee Kigwangallah akiwa amelala, yuko hoi kweli anaumwa, si mchezo. Maradhi yamemshika barabara na anahitaji msaada wa haraka ili kuokoa maisha yake.
Kumbe ahadi za Bashe na kundi lake la kitapeli ilikuwa ni fix. Hakuna chochote walichoahidi kimetekelezwa hadi sasa kimefanyika. Huu ndio utapeli wa Bashe na jamaa zake hao.
Walitaka kugain political mileage out of the suffering of Mzee wa watu! Nasikia documents walizo chukua walizitumia kuomba msaada kwa watu lakini mlengwa hakupata kitu na anaendelea kuteseka na ugonjwa wake.
Hivi sasa hata akipigiwahapokei simu na alipotembelewa ofisini kwake Sinza, yasemekana alikataa hata kumwona mzee Kigwangallah na ujumbe wake. Hii ndio tabia ya Bashe, msomali mhaini kweli.
Kwa upande wa Dr Kigwangalla, yeye kaonesha dhahiri ushenzi wake. Hamjali kabisa baba yake mzazi. Hatoi huduma yoyote toka aukwae ubunge mwaka 2010, ila kidogo sana amekuwa kama karogwa vile.Baba yake anaumwa hataki kumtibia na pesa anazo. Yuko busy na mambo yake; hana shida na baba yake wala nduguze.
Wana jamii, msaadawenu unahitajika haraka. Msaidieni mzee wetu moja kwa moja kupitia namba zake za simi zifuatazo: M-Pesa 0754 042 105 au Airtel Money 0784 630 195.
Nawasilisha

Aliempeleka mzee Saidi kigwangalla kwa Bashe ni kijana mmoja anaitwa Allan na alifanya hivyo baada ya yeye kutofautiana na mh kigwangalla na ndo aliyemrekodi huyo mzee na ndo anaujua ukweli wa msaada anaopata kutoka kwa Bashe
 
Mtoa taarifa ni mpotoshaji mpaka leo hii Bashe anampatia sh laki moja kila mwezi huyo mzee kwa ajili mahitaji yake, tuacheni siasa za kushabiki mwenye laana ni huyo mbunge aliyelewa misifa ya kijinga na kutelekeza mzazi wake

Ili uwitwe baba nilazima uwe na mapenzi na watoto wako
Hatakama hujamuowa mama watoto jaribu kuwa karibu na mtoto wako
Sio mtoto anakuwa mkubwa na maisha yake ndio unakuja kujitambulisha hooo mimi ndio baba kwangu mm naona utakuwa umechelewa
SiweI kuwa na mapenz na ww hata siku 1 labda nikusaisie kama mtu baki anavyo weza saidiwa
Unakuta mama ndiokateseka maisha yako yote akisaidiwa na wajomba
Hadi shule mtoto anatumia jina la mwisho la ujombani hapo unafikiri kunamapenzi ya kumjuwa baba
Hakuna tena mm siweI kumsumbuwa mama yangu akutajie baba yako hata siku1
Tuwe na mapenz na watoto wetu
 
Kigwangala alimkana babaake siku alipoamua kutumia jina na matokeo ya classmate wake aliyefaulu mitihani kwenda yeye bila ridhaa ya mwenyewe!
 
Kigwangwala si ni member humu? Aje atueleze kwa nini hamjali baba yake tena katika hali ya ugonjwa? Na kama hamjali baba jee huo moyo wa kuwajali wana Nzega (ambao sio ndugu zake) atautoa wapi?
mwenye ile link ya video atuwekee hapa ili tujikumbushe machungu ya mzee wetu aliyetelekezwa na mwanae Mbunge wa CCM.
 
Mimi ni mtu wa kwanza kuanza kumsaidia kwa kweli tuoneshe uungwana jamaa zangu. Dr hana habari na baba yake, sababu anazijua mwenyewe. Ubunge umemzuzua. Toka mwaka 2010 yeye na mkewe hawajaenda kumjulia hali mzazi wao. Hao ni watu wa nanmna gani? Na waliomteua kuwa mbunge hawalioni hilo. kuwa mtu huyu ni kilaza, mshenzi wa amali.

Samahani niulize,we ni mlinzi wa Mzee Kigwangala? Umejuaje kwamba mwanae hajaenda kumuona toka mwaka 2010. Au na wewe ni mmoja wa vijana wa Bashe.
 
Brother Kigwa kama umetoka kwenye kiuno cha huyo mzee hakuna sababu duniani ya kumsusa kama ni kweli......achana na siasa vitu vya kupita....shughulika na afya ya mzee asife kwasababu ya kukosa mambo ya msingi......mzazi ni mzazi.....huwezi kubadili hilo hata akufanyie nini.....tafadhali mkuu kama kuna ukweli kwenye hii taarifa.....
 
Back
Top Bottom