Kijana leo
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 2,860
- 812
pole yake mgonjwa, naona anatumika kisiasa wakati yeye ana hali mbaya, ila nimemuelewa jet2015 anapoint, huyu mleta mada ana jazba, ni vyema ukamchukua huyo mzee na kumsaidia wewe uliyekuwa karibu, ayo ya akina bashe utakuja fuatilia baadae. ila kigwa nae anashangaza watu anavyowatetea vijana bungeni kumbe huku nje mtu 1 tu anashindwa mtetea uhai wake? kweli bora uwe kiongozi wa kuzaliwa kuliko kiongozi wa kupewa.