Bashe avua gamba

Status
Not open for further replies.
Bashe ni mmoja tuu anejulikana kwenye ulimwengu wa siasa za bongo... Hussein bashe acheni kutumia majina ya watu vibaya ilikupata comment nyingi fb... Such a stupid thread
 

mamluki huyo shauri zenu
 
kwa taarifa niliyoipata jioni hii ni kwamba Ndugu Mohamed Bashe amevua gamba na kuvaa Gwanda.
karibu aluta continue.

Anakuja kujaza nafasi ya ZZK, Chadema muwe makini sana na watu kama hawa wanaotumwa kwa kazi moja tuu....kukivuruga chama.
Huko CCM amekosa nini hata ajitoe......???
We must be very careful.....!!!
 
Nadhani sio jambo jema kufiri vibaya, lakini pia ni vizuri kufikiri vizuri.
 
Siamini habari hii, hao wanafanana tu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…