Nilimsikiliza Bashe wiki iliyopita akimsema mh.Membe,hata ile heshima tu ya kumzidi umri haikuwepo kabisa yaani utafikiri alikuwa akimsema kijana mwenzie,nikabaki najiuliza mwenyewe hizi nguvu wanazitoa wapi?.na mwingine ni nape akiwa akimsema DR SLAA yaani utafikiri kwao hakuna wakubwa.Ushauri wangu kwao hata kama wana mamlaka wawe na angalau hekima ya kuwaheshimu waliowazidi umri basi.