ninapita tuKuna watu walishasema Hamis Kigwangalah anamwogopa Bashe kama ukoma, na kila comment anayoitoa Bashe au inayomhusu Kigwa lazima ajibu.
Kitu kimoja ambacho Mr Hamis Kigwa hujawahi kujibu kwa ufasaha ni ile tuhuma aliyoitoa Bashe juu ya wewe kuiba jina la mshindi std 7 kwenda Kigoma Secondary.