DONALD MGANGA
Member
- Mar 22, 2011
- 99
- 11
EL ndo pekee anaweza kurekebisha makosa ya rafiki yake kwa miaka kumi. Wengine wote ni watu wa visasi tu. Tumpe nchi muone mambo. Kifupi hatutaki tena rais maskini maana nae hatatulia mpaka ajenge kwao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
EL ndo pekee anaweza kurekebisha makosa ya rafiki yake kwa miaka kumi. Wengine wote ni watu wa visasi tu. Tumpe nchi muone mambo. Kifupi hatutaki tena rais maskini maana nae hatatulia mpaka ajenge kwao.
tutolee upupu wako uliotumwa na NAPEHussein Bashe alikuwa ni mgombea wa kinyang'anyiro cha uenyekiti wa UVCCM kabla ya nafasi hiyo kutengwa kwa ajili wa wagombea kutoka visiwani. Alipojaribu kuwania nafasi ya Makamu Mwenyekiti alishindwa kutamba mbele ya Benno Malisa. Lakini kwa ustadi mkubwa muungwana huyu ameweza kutumia werevu wake na ukaribu wake na mafisadi wakwasi na kuwafanya wamteue kuwa mwenyekiti wa kukusanya maoni juu ya namna UVCCM inavyoweza kujibadili na kuwa ya kisasa. Katika kamati hii ambayo katibu wake ni katibu mkuu wa UVCCM Martine Shigela, yeye ndiye msemaji mkuu na sasa yeye ndiye msemaji mkuu wa UVCCM na hawa akina Shigela na Malisa sasa wanaripoti kwake.
Inasemekana sasa hivi yeye ndiye anayeendesha jumuiya hiyo kwa fedha anazozipata kutoka kwa wakwasi hao na hata ziara za Benno Malisa sasa hivi zimekuwa zikiandamana na Fred Lowassa, Bashe na girl friend wa Malisa Mboni Mhita. Hawa ndiyo wanaomfadhili Malisa na kumpangia nini cha kufanya na kuongea. Kimsingi Bashe na wakwasi wake wamefanikiwa kuigeuza UVCCM kuwa mdomo na chombo cha Lowassa na kwa njia hii Bashe amefanikiwa alichokuwa anakitafuta kwa muda mrefu, tena bila jasho. Hili limewezekana baada ya kubaini udhaifu na njaa ya Shigela na Malisa.
Tata Mwita maranya huu ukabira unautowa wapi mura. mzanaki aliukataa na kesho ni annivesary yake"tigha mbani."Kweli hii nchi haijawahi kuishiwa vituko.
Hawa uvccm si ndio walikuwa wakimshambulia FTS na ENL kwamba rais wa nchi hii 2015 hawezi kutoka kaskazini? Kwamba rais ajaye ni ,mwenyekiti wa ccm JK ndiye anamfahamu.
Sasa mara hii tena wameshahamia kambi ya kaskazini? Kweli njaa nyingine mbaya sana. Hatahivyo ni bora mara mia moja rais ajaye atoke kaskazini kuliko ukanda wa pwani. Ndugu zangu wa ukanda wa pwani mtanisamehe bure kwa hili.
Hapo ndo wameharibu kabisa. Bashe msomali au al shaababu kama ndugu yake Adeni Rage? CCM imeoza haina pa kukimbilia kwanza suala lauraia bado tuna utata nae. Awe macho.Hussein Bashe alikuwa ni mgombea wa kinyang'anyiro cha uenyekiti wa UVCCM kabla ya nafasi hiyo kutengwa kwa ajili wa wagombea kutoka visiwani. Alipojaribu kuwania nafasi ya Makamu Mwenyekiti alishindwa kutamba mbele ya Benno Malisa. Lakini kwa ustadi mkubwa muungwana huyu ameweza kutumia werevu wake na ukaribu wake na mafisadi wakwasi na kuwafanya wamteue kuwa mwenyekiti wa kukusanya maoni juu ya namna UVCCM inavyoweza kujibadili na kuwa ya kisasa. Katika kamati hii ambayo katibu wake ni katibu mkuu wa UVCCM Martine Shigela, yeye ndiye msemaji mkuu na sasa yeye ndiye msemaji mkuu wa UVCCM na hawa akina Shigela na Malisa sasa wanaripoti kwake.
Inasemekana sasa hivi yeye ndiye anayeendesha jumuiya hiyo kwa fedha anazozipata kutoka kwa wakwasi hao na hata ziara za Benno Malisa sasa hivi zimekuwa zikiandamana na Fred Lowassa, Bashe na girl friend wa Malisa Mboni Mhita. Hawa ndiyo wanaomfadhili Malisa na kumpangia nini cha kufanya na kuongea. Kimsingi Bashe na wakwasi wake wamefanikiwa kuigeuza UVCCM kuwa mdomo na chombo cha Lowassa na kwa njia hii Bashe amefanikiwa alichokuwa anakitafuta kwa muda mrefu, tena bila jasho. Hili limewezekana baada ya kubaini udhaifu na njaa ya Shigela na Malisa.
Kuna wakati nchi hii huwa siielewi. Huyu mteka meli alitamkwa kwamba si raia wa nchi hii. Anaachwa vipi kupiga siasa katika nchi ya kigeni?
Dr. Hamisi Kigwangalla, MD, MPH, MBA
Mabadiliko ya kweli yataletwa na sisi...!
Huyo muungwana ni mzaliwa wa Nzega lakini Uraia wake una 'UTATA' mkubwa mpaka pale atakaporekebisha nyaraka zake kwa kufuata utaratibu wa kisheria uliowekwa...na kama asiporekebisha nyaraka zake bado atalazimika kuendelea kuwa mpiga kelele huko majukwaani na kamwe Chama chochote kile cha siasa hakitaweza kumsimamisha kama mgombea kwenye uchaguzi wowote ule wenye mamlaka ya dola...
jamani kwani BASHE alishapewa utanzania???
Mkuu uraia unakuwa na utata akigombea ubunge tu??
Nyie watu sometimes ogopeni Muumba
Mimi, wakidhani nina haja ya kumshambulia, wamekuwa wakiniletea ma-scud yanayohusu utata wa uraia wake, sema sijawahi kuamua kumlipua...
Sasa kama wewe mwenyewe ni raia halali na mwema mbona hutuelezi juhudi ulizofanya kumzuia mtu ambaye si raia asishiriki shughuli za siasa na mambo mengine? Huoni kuwa pamoja na kelele zako dhidi yake bado wewe unachangia uvunjaji wa sheria za uhamiaji?Topical,
SDina uhakika sana kama utata wa uraia wake unakuja kila akigombea Ubunge tu. Nadhani kama hajarekebisha nyaraka zake hadi leo, na kama hatozirekebisha mpaka kufikia uchaguzi Mkuu wa chama mwakani, nakuhakikishia hawezi kuruhusiwa hata kugombea ubalozi wa shina. Mwanzoni utata wa uraia wake haukuwa wazi sana kisheria, kwa sasa wapo wengi wanaofahamu utata huo uko wapi!
Mimi, wakidhani nina haja ya kumshambulia, wamekuwa wakiniletea ma-scud yanayohusu utata wa uraia wake, sema sijawahi kuamua kumlipua...