A
Anonymous
Guest
Ningependa kujua kwa nini leseni yangu ya biashara ya vifaa vya ujenzi (hardware) katika Jiji la Arusha (CBD) inahitaji kibali cha BASATA na kwa nini nalipishwa shilingi 50,000/= za ziada?”
Serikali inawakamua wananchi wake hususan wawekezaji kwa kuwapiga indirect levvy na tax.Ningependa kujua kwa nini leseni yangu ya biashara ya vifaa vya ujenzi (hardware) katika Jiji la Arusha (CBD) inahitaji kibali cha BASATA na kwa nini nalipishwa shilingi 50,000/= za ziada?”
Wafanyabiashara wa vinywaji na maduka wanayouza mahitaji ya nyumban wanalalamika unatakiwa ulipie leseni ya TBS laki moja kwa mwaka wakati wewe si mzalishaji wa bidhaa mimi nafikiri TBS ilipaswa kulipiwa kiwandani na si madukaniSerikali inawakamua wananchi wake hususan wawekezaji kwa kuwapiga indirect levvy na tax.
Wanasema unapolipa BASATA umefanya compliance ya kurenew leseni yako pale Halmashauri.
Nchi inawakamua wananchi wake wa kati na wa chini bila huruma
hii sasa ni hatari , lakini mambo haya ndo yatatujengea uwezo wa kupambana na serikaliSerikali inawakamua wananchi wake hususan wawekezaji kwa kuwapiga indirect levvy na tax.
Wanasema unapolipa BASATA umefanya compliance ya kurenew leseni yako pale Halmashauri.
Nchi inawakamua wananchi wake wa kati na wa chini bila huruma
Tunahitaji REFORMS kuliko tunavyodhaniaWafanyabiashara wa vinywaji na maduka wanayouza mahitaji ya nyumban wanalalamika unatakiwa ulipie leseni ya TBS laki moja kwa mwaka wakati wewe si mzalishaji wa bidhaa mimi nafikiri TBS ilipaswa kulipiwa kiwandani na si madukani
Lete tin number tukusaidieNingependa kujua kwa nini leseni yangu ya biashara ya vifaa vya ujenzi (hardware) katika Jiji la Arusha (CBD) inahitaji kibali cha BASATA na kwa nini nalipishwa shilingi 50,000/= za ziada?”
Royce Royce watayaendeshaje?!Ningependa kujua kwa nini leseni yangu ya biashara ya vifaa vya ujenzi (hardware) katika Jiji la Arusha (CBD) inahitaji kibali cha BASATA na kwa nini nalipishwa shilingi 50,000/= za ziada?”
Kweli kabisa inaumiza sanaTunahitaji REFORMS kuliko tunavyodhania