GE2025 Baruani CHADEMA: Mama Samia watu wa Lindi wana mimba ya mradi mkubwa wa gesi

GE2025 Baruani CHADEMA: Mama Samia watu wa Lindi wana mimba ya mradi mkubwa wa gesi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

tonicimmobility

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2025
Posts
493
Reaction score
1,038
Aliyewahi kuwa mbunge wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania ndugu Baruani amesema watu wa Lindi wana mimba ya mradi wa gesi ambayo inamsubiria Samia aje aizalishe mimba hiyo. Ameyasema hayo leo septemba 25, 2025 katika kampeni za Chama cha Mapinduzi (#CCM) zinazoendelea katika mkoa wa Lindi jimbo la Mchinga akitoka Chama cha Demokrasi na Maendeleo (#CHADEMA) na kuhamia rasmi CCM.

Soma pia: Rais Samia: Serikali kupitia REA imeanza kutoa ruzuku kwenye miradi ya nishati ya gesi ya kupikia, majiko ya gesi na majiko ya umeme

 
Hio mbona ishakuwa miscarriage ?!!!!

Badala ya kuwekeza kwenye kupikia kwa kutumia umeme ambao upo au CNG kwenye hio gesi Asilia kwenye Magari watu wanaagiza LPG na kupigia chapuo Kampuni binafsi kwa kugawa mitungi ya gesi ili mtumiaji awe teja wa kununua gesi ambayo ni gharama kuliko mbadala ambao ni umeme ambao upo wakati huo huo kuwakataza watu kuni ambazo walikuwa wakitumia mpaka bure...
 
..sasa huko si kumtukana Raisi?

..kuna baadhi yetu wana ugonjwa wa kutopima kauli zao.
 
Back
Top Bottom