Kumbe KUJIVUA GAMBA ndo kumeanza kwa style hii? Mojawapo ya kiongozi wa ngazi ya juu kwenye Kata fulani ya Wilayani ameshapata barua kama ilivyo hapo chini.
Maswali ya baadhi ya watu katika Kata hiyo:
S.L.P xxxx,
(Wilaya),
07-05-2011
Ndg. (Fulani) (M/Kiti CCM (Kata))
YAH: KUSIMAMISHWA UONGOZI ULIONAO (M/KITI CCM (Kata))
Mada tajwa hapo juu yahusika.
Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya Wilaya iliyokutana tarehe 07-05-2011 imekusimamisha uongozi ulionao ndani ya Chama (M/Kiti wa CCM Kata ya xxxxx) kutokana na tabia na mwenendo wako umekuondolea sifa ya uongozi.
Umesimamishwa kuanzia leo tarehe 07-05-2011 hadi hapo maamuzi ya vikao vya juu yatakapotamka vinginevyo.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
(Signed)
Fulani Bin Fulani
Kny. KATIBU WA CCM WILAYA
(Wilaya)
Maswali ya baadhi ya watu katika Kata hiyo:
- Mbona barua yenyewe imechelewa kumfikia (ameipata tar 20-05-11 tangu iandikwe tar 07-05-11?). Je, waliogopa kumpelekea mapema au?
- Halafu barua haijataja sababu za stop (Labda hakuna ulazima kama hana kashfa like RA na wenzanke)
- Kwanini hawakumwita kwenye kamati ya maadili kumwonya kwanza?
- ......... n.k.
S.L.P xxxx,
(Wilaya),
07-05-2011
Ndg. (Fulani) (M/Kiti CCM (Kata))
YAH: KUSIMAMISHWA UONGOZI ULIONAO (M/KITI CCM (Kata))
Mada tajwa hapo juu yahusika.
Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya Wilaya iliyokutana tarehe 07-05-2011 imekusimamisha uongozi ulionao ndani ya Chama (M/Kiti wa CCM Kata ya xxxxx) kutokana na tabia na mwenendo wako umekuondolea sifa ya uongozi.
Umesimamishwa kuanzia leo tarehe 07-05-2011 hadi hapo maamuzi ya vikao vya juu yatakapotamka vinginevyo.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
(Signed)
Fulani Bin Fulani
Kny. KATIBU WA CCM WILAYA
(Wilaya)