JITU LA MIRABA MINNE
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 726
- 482
BOX OO
MWANZA
YAH;MAOMBI YA KUFUNGULIWA KWA MAOMBI YA DIPLOMA KWENDA DEGREE
Husika na kichwa cha habari hapo juu,mimi ni kijana wa kitanzania nina DIPLOMA ninahitaji kujiunga Degree,lakini mnanikatisha tamaa ni mda mrefu mnatoa tar za ukurasa kufunguka inakua sio kweli NA SIMU ZENU HAZIPATIKANI taarifa hakuna,kwa niaba ya applicants wenzangu ninaomba ufafanuzi lini uhakika ?Tupo mtaani kichwa hakitulii hatujui hatima yetu ini lini nawaomba waheshimiwa kuweni na taarifa zenye uhakika kupunguza madhara kwani mnasababisha watu wapate pressure..mnatusononesha sana okey....nawatakia kazi njema
Wako katika ujenzi wa taifa la viwanda na asali
Jitu la miraba minne
jitu@gmail.com
😡😕🙁😎😱