TUSILALAMIKE SANA, TULIWACHAGUA WENYEWE NGOJA WATUSHUGHULIKIE. UKISEMA SANA WATAKUSANANE. MIMI NINA MIAKA MITATU SIJAWAHI KUANGALIA CHANEL ZA TBC. WAMRUDISHE TIDO MHANDO MUONE SHUGHULI YAKE. TATIZO TIDO ANASEMA UKWELI NA ANAPENDA UHURU WA VYOMBO VYA HABARI WAKATI TZ KUPENDA UHURU NI KUGUSA MBONI YA JICHO LA ASIYEJARIBIWA.[HASHTAG]#FreeLocalChannel[/HASHTAG]
Mkuu kuna mtu wao mimi uwa namwita "comical" Mungii alikuwa akizunguka vyombo vyote vya habari kuwaaminisha hivyo watanzania. Sijui kwa hali ilivyo kwa sasa uwa anajisikiaje moyoni mwake kwa jinsi alivyotumika kuwahadaa waTZ.Hawa jamaa hata hatuwaelewi, wakati ule tunahamia Digital walituaminisha kupata huduma za local channels bure, kwa maana hiyo wamekiuka makubaliano kati yao na Watanzania. Kama wapo kwa ajili ya Watanzania ni uhalali upi unaowafanya waendelee kuwepo?