Barua ya wazi kwa Samuel Sitta

Barua ya wazi kwa Samuel Sitta

Kahumbi Lumola

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2012
Posts
359
Reaction score
2,569
Huu ni muendelezo wa Barua za wazi ambazo huwa ninazituma kuhusu mambo mbalimbali ya Kitaifa yanayoendelea. Nimewahi kuandika Barua ya wazi kwa JK, nikaja kuandika barua ya wazi kwa Mzee wangu KINANA na leo ni zamu ya aliyekuwa Mzee wangu SITTA.
attachment.php
 

Attachments

  • lumola steven edited 3.jpg
    lumola steven edited 3.jpg
    341.3 KB · Views: 4,193
Kamanda Lumola Steven mikutano uliyoifanya Tabora haitoshi rudi tena kamanda ukaze zaidi ili uchukue jimbo la Tabora mjini hakuna mtu pale sifa zote unazo dogo. pambana tupo nyuma yako.
 
kamanda Lumola Steven
wewe mdogo wangu huwa ninakwambia daily upo fit sana sana kazana zaidi umesaidia sana kuamsha harakati huko kwenu Magharibi Tabora na Katavi zimelala sana jitahidi mdogo wangu uwe unakwenda kupiga mikutano ujenge zaidi chama sina wasiwasi kuhusu jimbo la Tabora mjini hilo umelikamata sana ila inabidi ukaunge nguvu majimbo mengine uwasaidie makamanda wenzako. all in all unafanya vizuri sana tuko pamoja na wewe.
 
Huenda ataenda kugombea uraisi kupitia ACT ,na naamini atapata kura 1 tu akigombea uraisi,kura hiyo moja atajipigia mwenyewe.
 
huyo jamaa haijui siasa. pamoja na matope yote aliyokuwa nayo lowassa ya kuliibia taifi hili lakini kuna watu wanakesha humu mitandaoni na kwengineko kumpigia debe. itakuwa huyo sita? pamoja na juhudi zote za kikwete za kujaribu angalau kuboresha miundombinu karibia kila idara kama mabarabara, mashule, mavyuo, mahosipitali, manji nishati na kadhalka kuna watu wapo bize humu mitandaoni na kwengine kumtukana pamoja na kuwa wamesoma kwenye mashule na mavyuo hayohayo na wanapita barabara hizo hizo na wanafanya kazi kwenye taasisi hizo hizo,
hiyo ndo siasa. kwa lugha rahisi; politics are unpredictable.

Huu ni muendelezo wa Barua za wazi ambazo huwa ninazituma kuhusu mambo mbalimbali ya Kitaifa yanayoendelea. Nimewahi kuandika Barua ya wazi kwa JK, nikaja kuandika barua ya wazi kwa Mzee wangu KINANA na leo ni zamu ya aliyekuwa Mzee wangu SITTA.
attachment.php

 
Brother Lusmaka.
Nashukuru sana kwa ushauri ulioutoa, kimsingi nipo kwenye Maandalizi ya mwisho mwisho katikati ya mwezi huu nitawasili nyumbani Tabora kwa ziara ya siku 21. ambapo kwa Tabora Mjini nitatembelea kata za Ndevelwa, Kakola, Ifucha, Kabila, Baadae nitahamia Jimbo la Bukene kata za Itobo, Kishiri, Uduka, Mwamala kisha nitapitia jimbo la Nzega kwa Mkutano mmoja mkubwa wa Hadhara viwanja vya PARKING baada ya hapo nitakwenda Jimbo la Sikonge kwa siku 3 mfululizo halafu masiku yatakayosalia nitakwenda Urambo Mashariki nitafanya mikutano ya nguvu sana lazima huyu Mzee atatia akili. Ratiba ipo kama hivyo kamanda.
 
Sita atakumbukwa kama majanga mengine ya kitaifa yanavyokumbukwa. Ndo basi tena kwenye siasa!
 
Kama Sitta anaakili hivi karibuni atachanganyikiwa, maana amekosea sana, hana pakugeuzia sijui atatokea wapi???
 
Back
Top Bottom