Wakati baba wa taifa akiwapo alijulikana kutomfumbia macho yeyote aliyethubutu kuichanganya nchi na shamba lake, yeye kama rais mstaafu. Uzi huu unahusika:
Mwalimu Nyerere: Nchi inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, Asiyeheshimu katiba hatufai
Mahsusi kwenye kutenganisha nchi na shamba la bibi.
Mheshimiwa Kikwete unayo nafasi yako adimu sana, kwenye kusawazisha mambo hapa. Wazee Warioba na Butiku wamesikika. Sauti yako faraghani na hadharani inatakikana sasa labda kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya nchi hii.
Hebu uvunje ukimya wako na hii nchi ikapone.
Ukichagua kukaa kimya wewe kama rais mstaafu utakuwa na faida ipi kwenye nchi hii kama tuendako, ni dhahiri kutaharibika?
Kwamba waje watu kutoka kuja kusuluhisha nini wakati ungalipo hai na ukiywpata marupurupu yote kama rais mstaafu?
Pia soma: #COVID19 - Waraka wa wazi kwa Marais wetu Wastaafu kuhusiana na hali ya Corona nchini
Ilipokuwa lazima kukuitisha na wenzako mapema mno kabla ya hatari. Hudhani kuwa hata hapo yawezekana tulichelea mwana kulea?
Pia soma: Mzozo wa Rais Samia na CHADEMA wakiwamo wadau wengine ni kuwa: "yeye hataki uchaguzi wa haki." Nani wa kumfunga paka kengele?
Kwako Mheshimiwa sana Rais Kikwette.
Ninawasilisha.
Mwalimu Nyerere: Nchi inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, Asiyeheshimu katiba hatufai
Mahsusi kwenye kutenganisha nchi na shamba la bibi.
Mheshimiwa Kikwete unayo nafasi yako adimu sana, kwenye kusawazisha mambo hapa. Wazee Warioba na Butiku wamesikika. Sauti yako faraghani na hadharani inatakikana sasa labda kuliko wakati mwingine wowote katika historia ya nchi hii.
Hebu uvunje ukimya wako na hii nchi ikapone.
Ukichagua kukaa kimya wewe kama rais mstaafu utakuwa na faida ipi kwenye nchi hii kama tuendako, ni dhahiri kutaharibika?
Kwamba waje watu kutoka kuja kusuluhisha nini wakati ungalipo hai na ukiywpata marupurupu yote kama rais mstaafu?
Pia soma: #COVID19 - Waraka wa wazi kwa Marais wetu Wastaafu kuhusiana na hali ya Corona nchini
Ilipokuwa lazima kukuitisha na wenzako mapema mno kabla ya hatari. Hudhani kuwa hata hapo yawezekana tulichelea mwana kulea?
Pia soma: Mzozo wa Rais Samia na CHADEMA wakiwamo wadau wengine ni kuwa: "yeye hataki uchaguzi wa haki." Nani wa kumfunga paka kengele?
Kwako Mheshimiwa sana Rais Kikwette.
Ninawasilisha.