Barua ya Wazi Kwa Professor Lipumba.

Barua ya Wazi Kwa Professor Lipumba.

Ciprofloxacin.

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2015
Posts
1,583
Reaction score
2,702
Shikamoo mzee Lipumba, baada ya salamu mimi ni mzima kabisa wa afya.
Sidhani Kama wewe u mzima, maana nahisi pengine unaweza kuwa na presha kutokana na ujasiri wako unaotaka kujaribu kuwahadaa watanzania kuwa una uchungu Sana na CUF.
Mzee Lipumba, nataka nikueleze kuwa, watanzania wa sasa siyo wa miaka ya 1970 na 1980 enzi hizo wewe ukiwa kijana.
Siyo watanzania wa kuambiwa "zidumu fikra sahihi za Mwenyekiti wa CCM "na kisha wote wakasema zidumu.
Mzee Lipumba, ukitaka kumtawala mtu kiurahisi Sana, wala usimnyime chakula, ukimnyima chakula hatakubali kufa njaa, atapigana hadi apate chakula ili aokoe uhai wake.
Dawa ya kumtawala mtu ni ndogo Sana, mnyime Elimu tu awe kilaza, hapo utamtawala na kumgeuza Kama chapati Kwa kadri uwezavyo.
Mzee Lipumba, watanzania wengi hatujasoma ila tunajua fika kuwa wewe unatumika ili kuvuruga uchaguzi mkuu wa 2020.
Dhambi unayoitenda ni mbaya Sana, and you will pay the price.
Ukikubali kutumika, pia ukubali kutupwa jalalani,because you will be useless and only deserve to be rubbish.
Hakuna mtu aliyekulazimisha kujiuzulu, uliondoka Kwa mapenzi yako mwenyewe, leo baba umesahau nini tena CUF?
Mchezo unaoendelea tunaujua A to Z, usione watu ni wajinga wamekaa kimya, they know each and everything that's taking place.
Mwaka 2010 ukiwa kwenye kampeni za uchaguzi mkuu mkoani Tanga, uliwaomba wananchi wamchague Kikwete, bila aibu ilihali wewe ni mpinzani.
Kama una hofu ya Mungu na huwa unafunga mwezi wa toba wa Ramadhani Siku 30,Nakuomba uache Hizo fujo, rudi kwenye kazi yako ya awali, maana unazidi kudhalilika kila uchao.
Dhambi ya kutumika ilimtokea puani huyu jamaa kwenye picha hapa chini.
Muogope Mungu wewe mzee.
 

Attachments

  • 300px-Secretary_of_Defense_Caspar_W._Weinberger_-_Samuel_K._Doe.jpg
    300px-Secretary_of_Defense_Caspar_W._Weinberger_-_Samuel_K._Doe.jpg
    11 KB · Views: 43
naona pumba tu humu. kama mnampenda sana huyo sefu mchueni huko ufipa aje awe katibu wenu.
halafu tuambieni ukuta lini?
 
Professa hata akisoma waraka huu,hautamsumbua majibu ya papo kwa papo,ndiyo fani yake..ee..bhana kasema hana presha wala "wasiwasi"
 
Shikamoo mzee Lipumba, baada ya salamu mimi ni mzima kabisa wa afya.
Sidhani Kama wewe u mzima, maana nahisi pengine unaweza kuwa na presha kutokana na ujasiri wako unaotaka kujaribu kuwahadaa watanzania kuwa una uchungu Sana na CUF.
Mzee Lipumba, nataka nikueleze kuwa, watanzania wa sasa siyo wa miaka ya 1970 na 1980 enzi hizo wewe ukiwa kijana.
Siyo watanzania wa kuambiwa "zidumu fikra sahihi za Mwenyekiti wa CCM "na kisha wote wakasema zidumu.
Mzee Lipumba, ukitaka kumtawala mtu kiurahisi Sana, wala usimnyime chakula, ukimnyima chakula hatakubali kufa njaa, atapigana hadi apate chakula ili aokoe uhai wake.
Dawa ya kumtawala mtu ni ndogo Sana, mnyime Elimu tu awe ******, hapo utamtawala na kumgeuza Kama chapati Kwa kadri uwezavyo.
Mzee Lipumba, watanzania wengi hatujasoma ila tunajua fika kuwa wewe unatumika ili kuvuruga uchaguzi mkuu wa 2020.
Dhambi unayoitenda ni mbaya Sana, and you will pay the price.
Ukikubali kutumika, pia ukubali kutupwa jalalani,because you will be useless and only deserve to be rubbish.
Hakuna mtu aliyekulazimisha kujiuzulu, uliondoka Kwa mapenzi yako mwenyewe, leo baba umesahau nini tena CUF?
Mchezo unaoendelea tunaujua A to Z, usione watu ni wajinga wamekaa kimya, they know each and everything that's taking place.
Mwaka 2010 ukiwa kwenye kampeni za uchaguzi mkuu mkoani Tanga, uliwaomba wananchi wamchague Kikwete, bila aibu ilihali wewe ni mpinzani.
Kama una hofu ya Mungu na huwa unafunga mwezi wa toba wa Ramadhani Siku 30,Nakuomba uache Hizo fujo, rudi kwenye kazi yako ya awali, maana unazidi kudhalilika kila uchao.
Dhambi ya kutumika ilimtokea puani huyu jamaa kwenye picha hapa chini.
Muogope Mungu wewe mzee.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pole na wewe kwa kutumika kuandika na kuposti pumba..
Nasi tunaamini kabisa weww pia sio mzima.. lazima utakua na kasoro upstairs..
Maana unavyouzungumzia uchaguzi wa 2020 as if tayari unayajua matokeo..
Only umesahau kwamba kwenye siasa za bongo masaa 24 ni muda mrefu sana wenye kuweza kubadili nyekundu kuw njano let alone mpaka ifike hiyo 2020..
Au umesahau mlivyopiga sarskasi na yule jamaa mwenye Mvi Nyingi kichwani...??
Umesahau kauli za Mwenyekiti??
TL, Mwenye Nnyika, Mchungaji na wengineo zilivyomkashifu EL jus a few minutes before hajahama toka Kijani kuja magwanda??
Where is ur memory btw??

Usitumike kama taulo..
 
Professa hata akisoma waraka huu,hautamsumbua majibu ya papo kwa papo,ndiyo fani yake..ee..bhana kasema hana presha wala "wasiwasi"


Wanasema hate the game not a player. Do not hare Lipumba, he played them CUF and it is up to CUF to play their game.
 
Hongera Pro Lipumba wajinga hawatakuelewa welevu tumekupata sana uko sahihi 100% cuf inaendeshwa kwa Ruzuku ya bara hivyo Zanzibar watafute RUZUKU yao maalim Seif alilazimishwa kuingia kingi people s sasa atakula joto la jiwe tunafaham ambae hatakiwi pale ni maalim Seif na atatolewa na mkutano mkuu wa CUF
Big up pro Ilolangulu hoyeeeee
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pole na wewe kwa kutumika kuandika na kuposti pumba..
Nasi tunaamini kabisa weww pia sio mzima.. lazima utakua na kasoro upstairs..
Maana unavyouzungumzia uchaguzi wa 2020 as if tayari unayajua matokeo..
Only umesahau kwamba kwenye siasa za bongo masaa 24 ni muda mrefu sana wenye kuweza kubadili nyekundu kuw njano let alone mpaka ifike hiyo 2020..
Au umesahau mlivyopiga sarskasi na yule jamaa mwenye Mvi Nyingi kichwani...??
Umesahau kauli za Mwenyekiti??
TL, Mwenye Nnyika, Mchungaji na wengineo zilivyomkashifu EL jus a few minutes before hajahama toka Kijani kuja magwanda??
Where is ur memory btw??

Usitumike kama taulo..

MPE vidonge vyake asitake kutuona CIE hatujui
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pole na wewe kwa kutumika kuandika na kuposti pumba..
Nasi tunaamini kabisa weww pia sio mzima.. lazima utakua na kasoro upstairs..
Maana unavyouzungumzia uchaguzi wa 2020 as if tayari unayajua matokeo..
Only umesahau kwamba kwenye siasa za bongo masaa 24 ni muda mrefu sana wenye kuweza kubadili nyekundu kuw njano let alone mpaka ifike hiyo 2020..
Au umesahau mlivyopiga sarskasi na yule jamaa mwenye Mvi Nyingi kichwani...??
Umesahau kauli za Mwenyekiti??
TL, Mwenye Nnyika, Mchungaji na wengineo zilivyomkashifu EL jus a few minutes before hajahama toka Kijani kuja magwanda??
Where is ur memory btw??

Usitumike kama taulo..
Msamehee bure kabarehe juz
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Pole na wewe kwa kutumika kuandika na kuposti pumba..
Nasi tunaamini kabisa weww pia sio mzima.. lazima utakua na kasoro upstairs..
Maana unavyouzungumzia uchaguzi wa 2020 as if tayari unayajua matokeo..
Only umesahau kwamba kwenye siasa za bongo masaa 24 ni muda mrefu sana wenye kuweza kubadili nyekundu kuw njano let alone mpaka ifike hiyo 2020..
Au umesahau mlivyopiga sarskasi na yule jamaa mwenye Mvi Nyingi kichwani...??
Umesahau kauli za Mwenyekiti??
TL, Mwenye Nnyika, Mchungaji na wengineo zilivyomkashifu EL jus a few minutes before hajahama toka Kijani kuja magwanda??
Where is ur memory btw??

Usitumike kama taulo..
kweli bwana ni heri yako ww unaetumika kama mshumaa
 
Back
Top Bottom