steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 9,573
- 10,283
Nalipa kodi ndiyo kazi yake haswa na nina haki ya kuhoji kodi yangu inatumika vipi, hasa pale ninapoona mikoa ya wenzangu mpaka barabara za kuvukia ng'ombe zina lami.
We jifungie huko huko kwenu tununguo, njoo mjini uone brother.
hahahaaaaaa,we unafikiri kila mtu ni wa tununguo,kusanyeni kodi za kutosha za mazao yenu,limeni kibiashara na si kimazoea,lami zitawafuata zenyewe tu