Mk54
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,997
- 3,933
- Thread starter
- #121
nimekluelewa unapodai kua kuna asilimia 6% za kuongezeka kwa deni kila mwaka kitu amacho sio sahihi hata kidogo, na hata mdau mwingine amekuelewesha kua baada ya kuanza kulipa hakuna extra costs nyingine kama umeshaambiwa deni lako ni milion 16 ndio hizo utakazolipa kwa kipindi hicho. sasa hoja yako sijui ni ipi hapo. mana unajaribu kuaminisha watu kua deni litaongezeka kila mwaka kiasi kwamba litakua deni la maisha. wacha kupotosha watu, deni linatakiwa kulipwa ili wengine nao wanufaike pia. Pia uelewe kwamba kwa kupitia uchambuzi wako huo unaweza ukafanya mtu akaacha kuomba mkopo ilihali sio kweli kabisa na ungemsaidia na angelipa na vizuri tuu na maisha yangeendelea. tatizo tulitaka tusilipe kabisa ndio shida inapokuja. kama sheria umeona ina shida leta hapa hicho kifungu tukijadili ili kisije kikaanza kutumika vibaya ila usidanganye na mfano ulioutoa ni wa uongo kabisa.
Nakushauri uendelee kujifunza au fuatilia vyema hiyo sheria ya 2016.
Sio ujinga kutokujua. Ujinga ni kuzungumzia kitu ambacho hujafanyia uchunguzi kwanza kujua kinachozungumziwa kina uhalisia.
Na wasio jua sio Wewe tu, ni wengi sana.
Na hicho ndiyo kinasikitisha zaidi.