Barua ya wazi kwa dada zangu walio single...................!

It's interesting to know that there are people like you who have this amazing view of life!!

kwani wewe ulifiiri vipi mpendwa? to me maisha hayako bias kwamba yatampatia mahtaj muhimu mtu fulan kama vile hewa, ardhi ya kukanyaga,maji nk halafu yakamyima mtu fulani ambaye yaale matamanio ya kibinadamu hana. sijawah kuskia eti labda gari hii imetengenezwa ili iendeshwe na walioolewa ama waliooa tu.

so life iko fair sana ila tu n kwamba kuna muda moyo hutamani kuona uko na mtu anakujali lkn kama huna utaendelea kuumia kwa hilo ama kuendeleza maisha?
 
Baada ya mahusiano mabaya, nilifurahia sana maisha ya kuwa peke yangu. Yaani uhuru, muda, pesa, friends vyote havikuwa tatizo. Weekend kwenda miji tofauti na kuenjoy bila kuulizwa (of course bila kuharibu) it was full burudani!

Lkn moyo ni kitu kingine bwana; l am in love again na kwa muda it is good lkn sijui itaendaje.

Maisha ni jinsi utakavyo na ndivyo yatakavyokuwa. Kuna furaha kwenye mahusiano kama kulivyo kusiko na commitment! Furaha ni wewe zaidi!

Thanks mtambuzi.

I love you Kaunga.
 
Last edited by a moderator:
nimepata faraja sana baada ya kusoma hii post kwani nimekuwa nikifikiri sana kiasi nakosa amani kisa kuolewa
 
Baada ya mahusiano mabaya, nilifurahia sana maisha ya kuwa peke yangu. Yaani uhuru, muda, pesa, friends vyote havikuwa tatizo. Weekend kwenda miji tofauti na kuenjoy bila kuulizwa (of course bila kuharibu) it was full burudani!

Lkn moyo ni kitu kingine bwana; l am in love again na kwa muda it is good lkn sijui itaendaje.

Maisha ni jinsi utakavyo na ndivyo yatakavyokuwa. Kuna furaha kwenye mahusiano kama kulivyo kusiko na commitment! Furaha ni wewe zaidi!

Thanks mtambuzi.
Kaunga, Kaunga my lovely sister, nakushukuru sana wewe na wale wote waliosoma uzi huu na kujifunza jambo fulani maishani mwao. Aah! Mtambuzi mie, ni fahari iliyoje kuona binadamu wenzangu wakipata faraja kupitia ujumbe huu mahsusi kwa wale wanaojiona wametengwa na jamii...!

Daima nitakuwa pamoja nanyi..........................
 
Last edited by a moderator:

Thanks, you are my best; you know that! Nilipenda post yako ya 50% happiness. It reminded me my South African friend. Nilikutana naye DC kwenye workshop, after the workshop l was to visit our head office na nilitakiwa kufikia kwa our big boss. Sikufurahia kitu ile, she told me Kaunga, just promise urself that u r going to have fun; go n enjoy vingine vyote don't matter!

N true, l did enjoy; n we ended up being good friend with Mother house! So furaha tunayo wenyewe!
 
Last edited by a moderator:
Thanks, you are my best; you know that! Nilipenda post yako ya 50% happiness. It reminded me my South African friend. Nilikutana naye DC kwenye workshop, after the workshop l was to visit our head office na nilitakiwa kufikia kwa our big boss. Sikufurahia kitu ile, she told me Kaunga, just promise urself that u r going to have fun; go n enjoy vingine vyote don't matter!

N true, l did enjoy; n we ended up being good friend with Mother house! So furaha tunayo wenyewe!

that is what i believe in ma self. however stay blessed ma dearest.
 
Jamii zetu za kiafrika kwa kiasi kikubwa zinawanyanyasa single ladies. Sielewi ni kwa nini wasichana ambao hawajaolewa huwa hawaheshimiki! Kwangu mimi kuwa single ni uamuzi baada ya kuachana na mchumba asiyemuaminifu. Now sina stress na-enjoy life to the fullest!
Asante Mtambuzi umesema yote.
 
kuna kitu kikubwa sana nimejifunza hapa, hata mimi nina matatizo makubwa na mchumba wangu. ila nashindwa kuachana nae kwa kuwa nahis kama natakiwa kuanza tena maisha.
 
mtambuzi hii picha ya huyu mrembo wa 3 unaipenda wewe..anakurukisha moyo kichura chura nini kaka??
 
Mtambuzi its like let bygones be bygones ati. haya mtambuzi nashikuru sana kwakunipuuza mbona hunijibibu Mtambuzi nimesubiria nimechoka sasa kha!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
nimeipenda hiiiiiiiii ....haswa ulipoandika kuwa

"...kuwa single ni sehemu ya maisha na inapaswa kusherehekea na kuiheshimu hali hiyo kama ilivyo pale inapotokea kuolewa..."

Yote ni maisha so inapaswa kusheherekea - aksante sana babu Mtambuzi
 
Kuto kuoa au kuolewa sio tabu kwa binadamu ambaye yupo under 40 years of age, kwasababu under 40 years of age mdada unaweza ukawa single na ukitaka kutoka out utatafuta rafiki yako wa kike utatoka naye pia vijiwe mbalimbali utakwenda kama saloon au jamaa wa kazini na kupoteza nao muda lakini baada ya miaka 40 hutapata company yoyote zaidi ya mumeo/mkeo na watoto wako.
 
asante mkuu hii mada ni nzuri sana namkumbuka dada yangu aliyefikisha hadi 40 hajaolewa mwisho wa siku akaangukia kwenye kaa la moto ili tu na yeye aonekane ameolewa daah,,,
 
asante mkuu hii mada ni nzuri sana namkumbuka dada yangu aliyefikisha hadi 40 hajaolewa mwisho wa siku akaangukia kwenye kaa la moto ili tu na yeye aonekane ameolewa daah,,,
 
Back
Top Bottom