zephania musse
Member
- Apr 6, 2013
- 74
- 14
Nashukuru kwa dua zenu,nimeitwa kazini kupitia utumishi.Naomba kujua barua nitasubiri muda gani? au nifanyeje niipate?
Nashukuru kwa dua zenu,nimeitwa kazini kupitia utumishi.Naomba kujua barua nitasubiri muda gani? au nifanyeje niipate?
Nashukuru kwa dua zenu,nimeitwa kazini kupitia utumishi.Naomba kujua barua nitasubiri muda gani? au nifanyeje niipate?
Kwani JF ndio wamekuita kazini mpaka uje kuuliza humu barua yako ya ajira?Nashukuru kwa dua zenu,nimeitwa kazini kupitia utumishi.Naomba kujua barua nitasubiri muda gani? au nifanyeje niipate?
Kwani JF ndio wamekuita kazini mpaka uje kuuliza humu barua yako ya ajira?
Nenda sehemu uliyopangiwa kazi utakutana na barua yako.ukifika ulizia ofisi za utumishi,kama barua yako imefika.
Hawatampokea.
Nenda Jengo la maktaba, uliza sekretariati ya ajira chukua barua yako. Usisubirie hata posta...................... panda gari hata kesho!
sawa mkuu,ni mawazo tu,anaonekana anaharaka,ndo mana tuliotangulia tunampa alternative.BT CHA MSINGI ANGETAKIWA KUSUBIRIA BARUA YAKE POSTA,COZ ALIPO APPLY ALIAMBATANISHA,P.O.BOX.........
Pamoja sana wanajf nashukuru barua nimeipata,imebakia kuripoti kituo cha kazi.NEVER GIVE UP,GOD IS GREATER!
Hawatampokea.
Nenda Jengo la maktaba, uliza sekretariati ya ajira chukua barua yako. Usisubirie hata posta...................... panda gari hata kesho!
Sijui ilikuwa ni kwa kisa hiki tu, sina uhakika.
Yupo ndugu mmoja, alisubiri barua hadi mwezi ukapita. Akafunga safari hadi dar, sekretariet. akachukua copy akaenda kituo alichopangiwa.
Cha ajabu, kwenye kituo kipya walikuwa wameshaandaa taarifa kuwa mtumishi mpya hajaripoti hivyo waanze tena mchakato!
Huu ni ukweli! Nchi hii ina mambo mengi! Si kila mtu atafurahi kuona kimemo chake kukosa kipaombele![/QUOTE
hao walioandaa taarifa ya utumishi walikuwa sahihi. ndo sharia ya kazi inasema hivyo