Barua maalumu kwenda kwa Watanzania

Nginyai

Member
Feb 7, 2019
10
3
Tanzania ni mojawapo kati ya nchi zinazopatkana kusini mwa jangwa la Sahara, Afrika ya mashariki. Ni nchi iliyopata Uhuru mwaka 1961 chini ya utawala wa Mwl.J.K.Nyerere.

Ni nchi changa ukilinganisha na Marekani au Uingereza n.k. Nchi hii bado ni taifa linalotafuta mbinu za maendeleo, maana yake ni taifa linaloendelea. Kwa ujumla Tanzania bado ni taifa masikini katika takwimu za dunia.

Kwa mujibu ya tovuti ya Focus Economics na IMF Tanzania kwa mwaka 2019 ni nchi ya nane (8) kutoka ktk mataifa masikini zaidi duniani, hili ni janga ukilinganisha na mwaka 2016 ambayo tulikuwa wa 25.

Tatizo liko wapi? Na kwann?

Serikali ya John Magufuli inafanya kazi gani kama taifa linazidi tu kuporomoka?? Tangu rais Magufuli aingie madarakani ameagiza ndege nane(8) za kimataifa na tayari nne zimeshafika nchini, ambazo ni Bombardier Q400 mbili, Airbus na Boeng 787 Dreamliner.

Kwa kuangalia ukweli wa mambo ndege hizi hazina manufaa kwa watanzania hususan wa kipato cha chini, na inajulikana kuwa 75% ya watu wa Tanzania ni masikini wanaoishi chini ya dollar moja kwa Siku.

Sasa kwa takwimu hiyo hawa masikini watafaidi vipi usafiri huu ambao ni gharama kuliko usafiri wowote ule hapa nchini? Ni lini Mtanzania anayeishi chini ya dollar moja atafaidi ndege hizi zilizonunuliwa kwa kodi yake?
Miundombinu ya barabara, umeme, Maji, pembejeo za kilimo bado ziko katika hali mbaya kabisa

Lakini cha ajabu na kushangaza ni hatua ya serikali kugharamia ndege zaidi ya nane badala ya kutengeneza miundombinu hiyo.

Ifike wakati watawala wetu wasikie ushauri wa wasomi na wachumi kwa sababu sidhani kama huu ushauri wa kununua ndege badala ya kukarabati miundombinu muhim kwa watanzania wote ni ushauri wa wa wasomi bali ni kikundi flani cha watu wenye manufaa binafsi.

Tanzania ya viwanda inawezekana lakini je, rasilimali tunazo? Ikumbukwe kuwa viwanda vunategemea kilimo kwa 99% , tukirejea nyuma miaka ya 1700 inafahamika kuwa ndo muda mapinduzi ya kilimo yalianza huko Uholanzi (Netherland) na baadae kuenea bara lote la Ulaya.

Kabla ya mapinduzi ya kilimo ulaya hapakuwepo na kiwanda chochote lakini baada ya mapinduzi hayo ya kilimo ndipo ulaya ikaongoza kuwa bara la kulisha dunia kiviwanda.

Tanzania sisi inaonekana tunamwagilia miche huku mvua inanyesha.

Tunataka kuleta mapinduzi ya viwanda lakn rasilimali(raw materials) ziko wapi wakati mkulima anayetegemewa anatumia jembe la mkono na shoka, mkulima huyo huyo hapatiwi pembejeo na ruzuku, sasa je inawezekana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona umerusha jiwe kwenye mzinga wa nyuki. Utaambiwa kuna mabeberu ya mbuzi kule Vingunguti yanakutumia kuleta uchochezi. All in all ulichokiandika kina mantiki.
 
Tanzania ni mojawapo kati ya nchi zinazopatkana kusini mwa jangwa la Sahara, Afrika ya mashariki. Ni nchi iliyopata Uhuru mwaka 1961 chini ya utawala wa Mwl.J.K.Nyerere.

Ni nchi changa ukilinganisha na Marekani au Uingereza n.k. Nchi hii bado ni taifa linalotafuta mbinu za maendeleo, maana yake ni taifa linaloendelea. Kwa ujumla Tanzania bado ni taifa masikini katika takwimu za dunia.

Kwa mujibu ya tovuti ya Focus Economics na IMF Tanzania kwa mwaka 2019 ni nchi ya nane (8) kutoka ktk mataifa masikini zaidi duniani, hili ni janga ukilinganisha na mwaka 2016 ambayo tulikuwa wa 25.

Tatizo liko wapi? Na kwann?

Serikali ya John Magufuli inafanya kazi gani kama taifa linazidi tu kuporomoka?? Tangu rais Magufuli aingie madarakani ameagiza ndege nane(8) za kimataifa na tayari nne zimeshafika nchini, ambazo ni Bombardier Q400 mbili, Airbus na Boeng 787 Dreamliner.

Kwa kuangalia ukweli wa mambo ndege hizi hazina manufaa kwa watanzania hususan wa kipato cha chini, na inajulikana kuwa 75% ya watu wa Tanzania ni masikini wanaoishi chini ya dollar moja kwa Siku.

Sasa kwa takwimu hiyo hawa masikini watafaidi vipi usafiri huu ambao ni gharama kuliko usafiri wowote ule hapa nchini? Ni lini Mtanzania anayeishi chini ya dollar moja atafaidi ndege hizi zilizonunuliwa kwa kodi yake?
Miundombinu ya barabara, umeme, Maji, pembejeo za kilimo bado ziko katika hali mbaya kabisa

Lakini cha ajabu na kushangaza ni hatua ya serikali kugharamia ndege zaidi ya nane badala ya kutengeneza miundombinu hiyo.

Ifike wakati watawala wetu wasikie ushauri wa wasomi na wachumi kwa sababu sidhani kama huu ushauri wa kununua ndege badala ya kukarabati miundombinu muhim kwa watanzania wote ni ushauri wa wa wasomi bali ni kikundi flani cha watu wenye manufaa binafsi.

Tanzania ya viwanda inawezekana lakini je, rasilimali tunazo? Ikumbukwe kuwa viwanda vunategemea kilimo kwa 99% , tukirejea nyuma miaka ya 1700 inafahamika kuwa ndo muda mapinduzi ya kilimo yalianza huko Uholanzi (Netherland) na baadae kuenea bara lote la Ulaya.

Kabla ya mapinduzi ya kilimo ulaya hapakuwepo na kiwanda chochote lakini baada ya mapinduzi hayo ya kilimo ndipo ulaya ikaongoza kuwa bara la kulisha dunia kiviwanda.

Tanzania sisi inaonekana tunamwagilia miche huku mvua inanyesha.

Tunataka kuleta mapinduzi ya viwanda lakn rasilimali(raw materials) ziko wapi wakati mkulima anayetegemewa anatumia jembe la mkono na shoka, mkulima huyo huyo hapatiwi pembejeo na ruzuku, sasa je inawezekana?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo ni akili za kuambiwa nawe badala ya kuchanganya na zako ukabeba kama dodoki. 1. Umeshauri serikali ikarabati miundo mbinu. We we unaishi nchi gani?, barabara, madaraja, reli, viwanja vya ndege, meli, vivuko vinajengwa vipya, vikuu vinakarabatiwa unataka miundo mbinu IPI?,_2. Watanzania ni maskini hivyo hawatumii ndege, ndege zimenunuliwa kukuza utalii na biashara, 3. Viwanda hutegemea kilimo, nikweli, ila bila viwanda hakuna solo LA uhakika LA mazao wala pembejeo za kilimo. Tukiwa na viwanda vya korosho, pamba na matunda, kilimo kitaimarika. 4. Serikali inaimarisha upatikanaji wa umeme wa uhakika ili kuinua viwanda, 5. Serikali inatoa Elimu Bure na kuboresha huduma za afya kwa kujenga hospitality, , zahanati na vituo vya afya nchi nzima, inaimarisha upatikanaji wa dawa na inaandaa muswada wa bima ya afya kwa watanzania wote ili kuimarisha nguvu kazi. Wachumi wanaokosoa mipango, mikakati na juhudi hizo, sio wachumi Bali wachawi nawe washakuroga.
 
Hizo ni akili za kuambiwa nawe badala ya kuchanganya na zako ukabeba kama dodoki. 1. Umeshauri serikali ikarabati miundo mbinu. We we unaishi nchi gani?, barabara, madaraja, reli, viwanja vya ndege, meli, vivuko vinajengwa vipya, vikuu vinakarabatiwa unataka miundo mbinu IPI?,_2. Watanzania ni maskini hivyo hawatumii ndege, ndege zimenunuliwa kukuza utalii na biashara, 3. Viwanda hutegemea kilimo, nikweli, ila bila viwanda hakuna solo LA uhakika LA mazao wala pembejeo za kilimo. Tukiwa na viwanda vya korosho, pamba na matunda, kilimo kitaimarika. 4. Serikali inaimarisha upatikanaji wa umeme wa uhakika ili kuinua viwanda, 5. Serikali inatoa Elimu Bure na kuboresha huduma za afya kwa kujenga hospitality, , zahanati na vituo vya afya nchi nzima, inaimarisha upatikanaji wa dawa na inaandaa muswada wa bima ya afya kwa watanzania wote ili kuimarisha nguvu kazi. Wachumi wanaokosoa mipango, mikakati na juhudi hizo, sio wachumi Bali wachawi nawe washakuroga.
Kwanza ww mpk hapo ni shabiki, unaitwa team jpm, lazm ufagilie ya jpm ata km ni maovu but ckatai unayoyasema lkn ukweli upo pale pale nchi uchumi wake unazidiwa na Rwanda ambayo ni sawa sawa na ukubwa wa mkoa wa manyara, km ni kukuza utalii kwann tumedrop kutok 25 hadi 8? Hv umewah kutembea Tanzania au umejikalia tu apo kwenu mjn mpk umri huo???, umewah fka Dodoma vjjn, cngda vjjn au manyara kuona hali ya miundombinu??? Achenu ushabiki hizo ndege hazfanyi chochote cha kumfaidi mlala hoi km mm.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza ww mpk hapo ni shabiki, unaitwa team jpm, lazm ufagilie ya jpm ata km ni maovu but ckatai unayoyasema lkn ukweli upo pale pale nchi uchumi wake unazidiwa na Rwanda ambayo ni sawa sawa na ukubwa wa mkoa wa manyara, km ni kukuza utalii kwann tumedrop kutok 25 hadi 8? Hv umewah kutembea Tanzania au umejikalia tu apo kwenu mjn mpk umri huo???, umewah fka Dodoma vjjn, cngda vjjn au manyara kuona hali ya miundombinu??? Achenu ushabiki hizo ndege hazfanyi chochote cha kumfaidi mlala hoi km mm.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nyote ni mashabiki hila kwa upande wa Bukoba Vanilla kilo laki 1kahawa bei nzuri ndege zimetusaidia sana Sisi tulioko mbali na majiji na mji mkuu bila ndege likitokea jambo la zarula ni hatari mfano mdogo Sisi uwezo wa kupanda ndege hatuna lakini kwa kuchangishana kusaidia wakati wa zarula tunao tulikuwa na mgonjwa tuliweza kumuhisaha Bugando kwa wakati tunge kuwa tunaongea mengine ndege kwa wakazi wa bukoba ni muhimu zaidi zina tusaidia sana Samaki wetu wanafika Dar kwa wakati ambapo tusinge weza bila ndege
 
Nyote ni mashabiki hila kwa upande wa Bukoba Vanilla kilo laki 1kahawa bei nzuri ndege zimetusaidia sana Sisi tulioko mbali na majiji na mji mkuu bila ndege likitokea jambo la zarula ni hatari mfano mdogo Sisi uwezo wa kupanda ndege hatuna lakini kwa kuchangishana kusaidia wakati wa zarula tunao tulikuwa na mgonjwa tuliweza kumuhisaha Bugando kwa wakati tunge kuwa tunaongea mengine ndege kwa wakazi wa bukoba ni muhimu zaidi zina tusaidia sana Samaki wetu wanafika Dar kwa wakati ambapo tusinge weza bila ndege
Sawa mkuu but hili ni suala pana hapo umeongelea seem ndogo xn, cjasema hamn faida but je wananufaika zaid ya 50% ya watu wa Tanzania? Km yes tupe uthibitisho .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza ww mpk hapo ni shabiki, unaitwa team jpm, lazm ufagilie ya jpm ata km ni maovu but ckatai unayoyasema lkn ukweli upo pale pale nchi uchumi wake unazidiwa na Rwanda ambayo ni sawa sawa na ukubwa wa mkoa wa manyara, km ni kukuza utalii kwann tumedrop kutok 25 hadi 8? Hv umewah kutembea Tanzania au umejikalia tu apo kwenu mjn mpk umri huo???, umewah fka Dodoma vjjn, cngda vjjn au manyara kuona hali ya miundombinu??? Achenu ushabiki hizo ndege hazfanyi chochote cha kumfaidi mlala hoi km mm.

Sent using Jamii Forums mobile app
Taratibu utaelewa. Familia ndogo ni rahisi kuihudumia na ikaishi maisha bora. Tanzania ingekuwa na ukubwa kama huo wa Rwanda, ingekuwa na maendeleo zaidi ya Rwanda. Unaedhani Rwanda ni bora kuliko Tz, tafuta mnyarwanda umuulize, wanaulilia utanzani. Kwanini TZ imepotomoka?, sababu ni kwakuwa tunawekeza kwenye miundo mbinu ya maendeleo na hatujaanza kuvuna. Tunajenga SGR, njia nane, Stringers Gorge, Vivuko, meli na ndege. Wahitimu wa Elimu bure hawajaanza kuzalisha. Hilo swali utaliuliza miaka michache ijayo, kwanini TZ imepanda kwa kasi?.Tarura inajenga Barbara vijijini, REA inagawa umeme nafuu na RUWASA inapeleka maji vijijini. Maendeleo ni mchakato na huanza kwa uwekezaji kwenye miundo mbinu. Baada ya miundo mbinu, tunaboresha huduma na uzalishaji. Tutasomeka sio kutoka chini Bali juu. Nikweli Team JPM namshabikia JPM, kushabikia maendeleo sio ujinga, ujinga no kupinga na kukejeli maendeleo. Ulitaka pesa za ndege zinunue bajaji?, Maendeleo ni pamoja na kuwa na usafiri wa uhakika. Nchi IPI duniani haina ndege na ikaitwa imeendelea?. Mabeberu hawakupenda tuwe na ndege zetu ili wafanye biashara na kutorosha rasilimali zetu. Karibu Team JPM Tusonge Mbele, Maendeleo hayana Chama.
 
Sawa mkuu but hili ni suala pana hapo umeongelea seem ndogo xn, cjasema hamn faida but je wananufaika zaid ya 50% ya watu wa Tanzania? Km yes tupe uthibitisho .

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimezungumzia kwa angle yangu mahali nilipo Bila ndege ni mateso makubwa mfano mdogo Bkb to Dr ni km 1500 kwa bus ni saa 31 kwa ndege saa 2:30 ili kuwa mtu kama anatoka Ulaya au Marekani na Asia lazima apitie Entebbe then achukue gari ambapo itamgharimu saa 6 mpaka Bukoba. Kwa salsa anashukia Mwalimu Nyerere ana chukua bombardier faster
 
Sawa mkuu but hili ni suala pana hapo umeongelea seem ndogo xn, cjasema hamn faida but je wananufaika zaid ya 50% ya watu wa Tanzania? Km yes tupe uthibitisho .

Sent using Jamii Forums mobile app
Faida ya ndege sio kupanda ndege tu Bali mapato pia na huduma. Mifano: 1. ATCL ikitengeneza faida na kugawa gawio kwa serikali. Hilo gawio litanunua madawa na vifaa tiba na kuwaponya masikini ambao hawakupanda ndege. Pia linaweza kununua vitabu au kukopesha wanagunzi tukapata madaktari bingwa na wahandisi. Matumizi ya ndege zetu wenyewe yanazuia wizi na utoroshaji was madini, madawa ya kulevya na fedha haramu maana tunazimiliki na kuzilinda wenyewe. Ndege zetu zinasaidia ulinzi na usalama wa nchi kwa namna nyingi. Usichukie ndege kwakuwa una nauli ya basi, faida no zaidi ya kuzipanda ndugu. Karibu Team JPM tuwaelimishe wengine
 
Hapo ni chuki tu kwakuwa hana nauli ya ndege. Mantiki IPO wapi?, nchi nzima wakandarasi wanajenga miundo mbinu, yeye anaitaka IPI?
Naona umerusha jiwe kwenye mzinga wa nyuki. Utaambiwa kuna mabeberu ya mbuzi kule Vingunguti yanakutumia kuleta uchochezi. All in all ulichokiandika kina mantiki.
 
Nimezungumzia kwa angle yangu mahali nilipo Bila ndege ni mateso makubwa mfano mdogo Bkb to Dr ni km 1500 kwa bus ni saa 31 kwa ndege saa 2:30
sio rahisi aelewe umuhimu wa ndege, kaambiwa apinge ununuzi wa ndege, hata umuelimishe vipi hataelewa
 
Taratibu utaelewa. Familia ndogo ni rahisi kuihudumia na ikaishi maisha bora. Tanzania ingekuwa na ukubwa kama huo wa Rwanda, ingekuwa na maendeleo zaidi ya Rwanda. Unaedhani Rwanda ni bora kuliko Tz, tafuta mnyarwanda umuulize, wanaulilia utanzani. Kwanini TZ imepotomoka?, sababu ni kwakuwa tunawekeza kwenye miundo mbinu ya maendeleo na hatujaanza kuvuna. Tunajenga SGR, njia nane, Stringers Gorge, Vivuko, meli na ndege. Wahitimu wa Elimu bure hawajaanza kuzalisha. Hilo swali utaliuliza miaka michache ijayo, kwanini TZ imepanda kwa kasi?.Tarura inajenga Barbara vijijini, REA inagawa umeme nafuu na RUWASA inapeleka maji vijijini. Maendeleo ni mchakato na huanza kwa uwekezaji kwenye miundo mbinu. Baada ya miundo mbinu, tunaboresha huduma na uzalishaji. Tutasomeka sio kutoka chini Bali juu. Nikweli Team JPM namshabikia JPM, kushabikia maendeleo sio ujinga, ujinga no kupinga na kukejeli maendeleo. Ulitaka pesa za ndege zinunue bajaji?, Maendeleo ni pamoja na kuwa na usafiri wa uhakika. Nchi IPI duniani haina ndege na ikaitwa imeendelea?. Mabeberu hawakupenda tuwe na ndege zetu ili wafanye biashara na kutorosha rasilimali zetu. Karibu Team JPM Tusonge Mbele, Maendeleo hayana Chama.
Bila shaka hujanielewa, ww hayo unayoyaona lkn ukiamka ukatembea tz kuna seem utacktka xn kwa suala la miundombinu km barabara na Maji, ktk maendeleo huwa hatuanzii 3, 2 au 5 bali maendeleo ni gradual growth ambayo huanzia moja na c mbili a tatu. Sasa kwann cc tz tunaruka izi stage za mwanzo ,,,,??? Tungemalzana kwanz na vitu ambavyo ni necessary kwa kila mtz.
Ww unazungumza tu lkn ukitembea maeneo interior ya nchi hii utacktka xn kuwakuta watanzania wanakunywa Maji kwa kushea na mifugo. Alafu ndege zenyew izo kuna tyr haieleweki,,,itakuzaje utalii na biashara na mmenunua iko chn ya viwango sa hela ya wananchi imeenda wapi km hiyo hali yake ndo hiyo????


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom